VODACOM imeshakuwa kero

VODACOM imeshakuwa kero

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Nilikuwa naupenda sana mtandao huu. Lakn sasa naona unanichosha. Kero tupu. Mi nijuavyo mtandao wa sm za mkonon kaz yake n kuleta mawasiliana, si mawasiliano2 bali mawasiliano bora. Ths is the main haya mengine ni sub tu. Knacho nishangaza mimi kwa hawa ndugu zetu voda wanafanya mawasiliano kuwa magum, hasa nyakat za usiku. Unataka kumpigia m2 sm watakusumbua weee! Et error in network, utarudia karbia mara kumi ndo wakuunganishe. Wakati mwingine unaweza ukatuma sms, inaenda lakn haimfikii mlengwa hadi et utume ya pili ndo utaona zinamfikia tena zote mbili. Sasa sjui hili tatzo lipo huku Geita tu au ni nch nzima. Tena naona walipobadili tu sera yao ya 'MTANDAO UNAOONGOZA TZ' nakua 'KAZI NI KWAKO' mafyongo yakaanzia hapo. Sasa sjui hii kampuni imeuzwa kwa mchina!!. Watu wa voda fanyien kaz hili. Imeshakuwa kero.
 
ulishawahi ripoti customer care yao? nakumbuka kuna jamaa yangu anaishi kimara yeye alikuwa na tatizo na internet hapati kabsaa alitukana matusi yooote. nikamshauri apige customer care ya voda. jamaa alipiga akasaidiwa sasa ana enjoy internet kwa kwenda mbele
 
Nilikuwa naupenda sana mtandao huu. Lakn sasa naona unanichosha. Kero tupu. Mi nijuavyo mtandao wa sm za mkonon kaz yake n kuleta mawasiliana, si mawasiliano2 bali mawasiliano bora. Ths is the main haya mengine ni sub tu. Knacho nishangaza mimi kwa hawa ndugu zetu voda wanafanya mawasiliano kuwa magum, hasa nyakat za usiku. Unataka kumpigia m2 sm watakusumbua weee! Et error in network, utarudia karbia mara kumi ndo wakuunganishe. Wakati mwingine unaweza ukatuma sms, inaenda lakn haimfikii mlengwa hadi et utume ya pili ndo utaona zinamfikia tena zote mbili. Sasa sjui hili tatzo lipo huku Geita tu au ni nch nzima. Tena naona walipobadili tu sera yao ya 'MTANDAO UNAOONGOZA TZ' nakua 'KAZI NI KWAKO' mafyongo yakaanzia hapo. Sasa sjui hii kampuni imeuzwa kwa mchina!!. Watu wa voda fanyien kaz hili. Imeshakuwa kero.

Mkuu pole sana kwa yanayokukuta.Kwa ufupi hiyo inatokana na mji wa Geita kukua kwa kasi sana na kusababisha watumiaji wa simu kuongezeka na kufanya mitambo kuzidiwa hasa nyakati za usiku kwani ndio muda ambao watumiaja wanakuwa wengi so kunakuwa na 'traffic congestion'.Kwa hiyo ngoja niwashauri watu wa network planning kufanya survey na kuangalia uwezekano wa kufanya upgrade on existing network or to add another tower.
 
kwa kweli imeshakuwa kero kila mahali si sms si M-PESA shida tu!
 
Tatizo VODA wamejisahau wameegemea shughuli za kibenki zaidi ( MPESA) wakasahau mobile services!
 
Nilikuwa naupenda sana mtandao huu. Lakn sasa naona unanichosha. Kero tupu. Mi nijuavyo mtandao wa sm za mkonon kaz yake n kuleta mawasiliana, si mawasiliano2 bali mawasiliano bora. Ths is the main haya mengine ni sub tu. Knacho nishangaza mimi kwa hawa ndugu zetu voda wanafanya mawasiliano kuwa magum, hasa nyakat za usiku. Unataka kumpigia m2 sm watakusumbua weee! Et error in network, utarudia karbia mara kumi ndo wakuunganishe. Wakati mwingine unaweza ukatuma sms, inaenda lakn haimfikii mlengwa hadi et utume ya pili ndo utaona zinamfikia tena zote mbili. Sasa sjui hili tatzo lipo huku Geita tu au ni nch nzima. Tena naona walipobadili tu sera yao ya 'MTANDAO UNAOONGOZA TZ' nakua 'KAZI NI KWAKO' mafyongo yakaanzia hapo. Sasa sjui hii kampuni imeuzwa kwa mchina!!. Watu wa voda fanyien kaz hili. Imeshakuwa kero.


Mkuu mm niko Dar hilo tatzo ni nchi nzima jamaa wamezidiwa na product nying lead by M-Pesa currently!!!!!!!
 
Back
Top Bottom