Babu wa Loliondo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 323
- 105
- Thread starter
-
- #21
Na kama huna salio huwez kujiunga na hio huduma maana inatozwa hela kama unafanya mwamala wa sim banking maana hio ni huduma ilibuniwa na CMSA na DSE.Mnatakiwa mjiunge *150*36# fuata maelekezo
Watu hawana imani na voda!Tofautisha huduma ya wafanyakazi na uwekezaji wa kwenye hisa.
Pm namba yako ya whatsapp nikutumie or emailKuna mwenye prospectus ya Vodacom hadi sasa?
Ninayo mkuu,
Mkuu kanyagio na Babu wa Loliondo tayari wanayo. Nimewaomba watusaidie.Kesho ndo zitakuwa kwenyeInitial Public Offering(IPO) ndo prospectus zitatolewa
Hivi kwa walio mikoani wanawezaje kununua hisa hizo?
Kumekuwa na muanguko katika voice calls hasa international calls bila shaka hili limechangiwa na massive data penetration. Na ni kweli kwamba M-Pesa inawapa faida kubwa sana na that's why investors will put their money.Nadhani kwa sasa mpesa ndio inawatoa
Nilisikia na NMB pia au?Unaweza kununua katika matawi yote ya Benki ya NBC nchini.
AsanteMnatakiwa mjiunge *150*36# fuata maelekezo
Duh pole.Juzi tu kuna watu wamejiunga handle via Mpesa lkn majibu hayakurudi!mpaka sasa ....vodacom wanapigiwa customer service hawapokei sim Vodacom mtandao wa kihuni kabisa....hisa hzo sana sana wafawaibia wateja
Wao tu
Ova
Watabaki kutokua na iman,wenye iman watawekeza na faida watapata huku ukibaki kulaumu tuuWatu hawana imani na voda!
Ova
Nitumie tuu haina shidaWould you mind nikikutumia barua pepe unitumie mkuu?
Unaongea point.Kumekuwa na muanguko katika voice calls hasa international calls bila shaka hili limechangiwa na massive data penetration. Na ni kweli kwamba M-Pesa inawapa faida kubwa sana na that's why investors will put their money.
Hapana ni NBC tuu ndio aliyeshinda tender ya kua collecting bankNilisikia na NMB pia au?
1.Gawio kama kampuni itapata faida baada ya kodi,na kwa Voda watagawa angalau 50% ya faida baada ya kodi.Faida ya hisa ikoje ?
Thankss1.Gawio kama kampuni itapata faida baada ya kodi,na kwa Voda watagawa angalau 50% ya faida baada ya kodi.
2.Faida ya ongezeko la mtaji (capital gain) hii utaiona pale ambapo bei ya hisa itapanda zaid ya bei uliyonunulia.
3.Unakua miongoni mwa wamiliki wa voda kwa hio utashiriki ktk EGM ya kuchagua bodi ya wakurugenzi
4.Unaweza kutumia hisa zako kama dhamana na ukapata mkopo kulingana na dhamani ya hisa zako kwa mda huo kwa bei ya sokoni.