Vodacom kubadili vifurushi kuanzia jumatatu 16/08/2021

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.

Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!

Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?

 
Hello, Please be informed that we will review our bundles on 16/08/2021. Continue to enjoy quality services from Vodacom. Terms and Conditions apply.

Nipo Halotel hii imebaki tu pambo kwenye kimeo changu
 
Bei zinapanda
 
Bibi ushungi kachachamaa wanaongeza bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…