Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Baba nimeshangaa! Spana zimeanza upyeeeeeeerrrrrrHata zantel nao wameniletea ujumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba nimeshangaa! Spana zimeanza upyeeeeeeerrrrrrHata zantel nao wameniletea ujumbe
Acha tu, ukichimama nnchale, ukikaa nnchale, ukimeja nnchale, ukimumunya nnchale njomba.😂😂tutanyoka tu
Mitandao iko mingi usipate tabu mkuu,Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714
Hii habari ya April tazama tareheVigezo na Masharti Kuzingatiwa, bila shaka tunarudia vile vifurushi vilivyositishwa awali...hongera kwa wadau wote kwa kulishughulikia hila suala😊View attachment 1891748
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pumbv zao jumapil usiku naunga cha wiki kabla hawajabadirsha....ubaya ubaya tu wakiamua wavitoe kabsa tutawasiliana hata kwa njia za ujima za kupuliza pembe la ngombe na kutuma barua kwa posta..pumbv
Zipunguzwe?!Kufikia kesho Tozo kwenye miamala ya simu zina maliza mwezi 15/07-- 15/08,
Tuna imani wameshaona muelekeo wa mapato ile Average Transactions ya 2,700,000 kwa siku kwenye mtandao wa Tigo imeshuka sana na mingine as well, Rais Samia ile kamati uliyo unda mpaka sasa itakua na Majibu ni namna gani hizo Tozo zipunguzwe / ikiwezekana ziondolewe.
Kwanin hao halotel nakatwa pesa Kila nikiweka salio nikiuliza naambiwa nimejiunga huduma fulani hivi ni Mimi tu au kuna mwingineMimi Halotel wamenitumia hio msg nikapiga ili kuuliza ni mabadiliko gani,
Customer care wao alivyopokea kaniambia subiri kidogo nikishuka nipo kwenye boda boda.
Pole sana mkuu ni wezi tu!😂😂😂Kwanin hao halotel nakatwa pesa Kila nikiweka salio nikiuliza naambiwa nimejiunga huduma fulani hivi ni Mimi tu au kuna mwingine
Sio kweli hatujakubali, paye, pssf, nhif, trade union, ewura kodi na tozo ni kiama kwa wafanyakazi.ni lile rungu lingine la tozo ya line za simu limewadia.
Mama yenu ameiambia BBC kuwa mmezikubali hizo tozo na mnazipenda kweri-kweri.
Ni wewe tu.Kwanin hao halotel nakatwa pesa Kila nikiweka salio nikiuliza naambiwa nimejiunga huduma fulani hivi ni Mimi tu au kuna mwingine
walivyo wajanja zaidi yako....iyo Jumapili mtandao wao wanaweka slow kujiunga ili wafidie siku inayofuatapumbv zao jumapil usiku naunga cha wiki kabla hawajabadirsha....ubaya ubaya tu wakiamua wavitoe kabsa tutawasiliana hata kwa njia za ujima za kupuliza pembe la ngombe na kutuma barua kwa posta..pumbv
Safi sanaWanapandisha gharama,kwa mfano kama buku ulikua unapata g1 zinashuka mpaka kuwa mb's,na dk pia ni hivyo kama buku ulikua unapata dk 100 zinashuka.
Mchakato wa kuleta bei mpya ulianza April na sasa umekamilika😊Hii habari ya April tazama tarehe
Hlo ilikuwa wakat wa tamko la waziri vifurushi vikabadilishwa tukapga kelele wakasema vrudi kama zamanMchakato wa kuleta bei mpya ulianza April na sasa umekamilika😊