Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilirudishwa bei ya zamani lakini walikuwa na mchakato wa kufanya mabadiliko ya bei na sasa mchakato ndio umekamilika ndio tusubiri tuone bei zitakavyokuwaHlo ilikuwa wakat wa tamko la waziri vifurushi vikabadilishwa tukapga kelele wakasema vrudi kama zaman
Lazma zipande maana mamlaka haina huruma kwetuVilirudishwa bei ya zamani lakini walikuwa na mchakato wa kufanya mabadiliko ya bei na sasa mchakato ndio umekamilika ndio tusubiri tuone bei zitakavyokuwa
Du! hii Kali sasa,[emoji38][emoji38],yaani mi nilipiga wiki iliyopita TTCL huduma kwa wateja yaani alivyopokea yule mama sijui Dada anaongea utadhani kajifunika blanket,anaongea kwa uchovu, nikahisi labda yupo jikoni maana nasikia kama mtu anaosha vyombo,ishu yenyewe ilikuwa ndogo tu nilikwangua vocha vibaya ikawa haionekani,nikaambiwa subiri saa 24,utajulishwa mpaka leo hakuna lolote ni wiki sasa,vocha yenyewe niliamua kutupa tuMimi Halotel wamenitumia hio msg nikapiga ili kuuliza ni mabadiliko gani,
Customer care wao alivyopokea kaniambia subiri kidogo nikishuka nipo kwenye boda boda.
Siku hizi nitakuwa natazama zangu Ertugrul tu na mama watoto. Simu nitaigusa kukumbusha wadeni wangu tu basi.Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714
Halotel nao tayar mkuu washatuma sms 😂😂😂😂Hello, Please be informed that we will review our bundles on 16/08/2021. Continue to enjoy quality services from Vodacom. Terms and Conditions apply.
Nipo Halotel hii imebaki tu pambo kwenye kimeo changu
HATA HALOTEL WAMETOA KITANGAZO HICHO!Nimepokea sms ya Vodacom asubuhi ikinijulisha kuwa kuanzia 16/08/2021kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi. Mpaka sasa sijajua ni Vodacom pekee au na mitandao mingine nao watapandisha.
Sms hiyo haijaweka wazi kama vifurushi vitapanda au vitapungua lakini kwa fikra zangu naona vifurushi vitapanda hasa upande wa data/internet!
Unategemea nini kwenye mabadiliko ya vifurushi vya Vodacom?
View attachment 1891714