Vodacom kwasasa ndio wenye unafuu wa bando la intanet

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kwa sh 50,000/= unapata gb 37 za kasi na hata ukimaliza hizo gb 37 unaendelea kutumia internet mpaka ile tarehe ya bando kuexpire ifike japo wanapunguza kasi kidogo.

Kwa uchumi wa sasa hilo ndio bando sasa la kuunga, maana vile vifurushi vya wiki unatumia siku mbili kimeisha.
Na unakuta unavyojiunga kila siku kwa mwezi unakuta umetumia hela nyingi sana.

Bora utoe 50k yako at once uenjoy maisha na internet yenye kasi toka Vodacom

NB:
Sitaku makasiriko katika uzi huu, kila mbuzi ale urefu wa kamba yake, full stop!!
 
50k....kwa mda gan???
 
Pumbavu umeajiriwa na voda kiwafanyia promo?
 
Hiyo 50,000 inakuruhusu kuangalia netflix kwa uhuru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…