Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Tulia mkuu mbna una wengeKwani hapo juu si nmeshatoa ufafanuzi lakin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mkuu mbna una wengeKwani hapo juu si nmeshatoa ufafanuzi lakin
Tabia gani ya kuita watu mbuziKwa sh 50,000/= unapata gb 37 za kasi na hata ukimaliza hizo gb 37 unaendelea kutumia internet mpaka ile tarehe ya bando kuexpire ifike japo wanapunguza kasi kidogo.
Kwa uchumi wa sasa hilo ndio bando sasa la kuunga, maana vile vifurushi vya wiki unatumia siku mbili kimeisha.
Na unakuta unavyojiunga kila siku kwa mwezi unakuta umetumia hela nyingi sana.
Bora utoe 50k yako at once uenjoy maisha na internet yenye kasi toka Vodacom
NB:
Sitaku makasiriko katika uzi huu, kila mbuzi ale urefu wa kamba yake, full stop!!
Hizo gb zikikata ni kweli unaweza kuendelea kutumia internet?wamepunguza sana , ilikua 50GB ndo nilikua natumia , sa hizi bado sijaamua niunge kipi
Yah unatumia.. mimi zishaisha ila bado natumia, imepungua downloading speed tu, ila youtube na music platforms nastream kama kawaida. Insta, fb zote ziko vile vile.Je ni kweli gb zikiisha naweza kuendelea kutumia?
Shukrani sanaYah unatumia.. mimi zishaisha ila bado natumia, imepungua downloading speed tu, ila youtube na music platforms nastream kama kawaida. Insta, fb zote ziko vile vile.
Kuona ni kuamini, asante
Shs ngap???Halotel kwa mwezi ni Gb 38.6
50,000Shs ngap???
Plus dakika 200 za kupiga mitandao yote kila siku , sms za kutoshaHalotel kwa mwezi ni Gb 38.6
Ukilipa kwa halopesa ni 4750050,000
Kwa mwezi gb 38.8 kwa 50,000,ukilipa kwa halopesa ni 47,500Kwa sh ngap mkuu?
yeah uko sahihiUkilipa kwa halopesa ni 47500