Vodacom kwasasa ndio wenye unafuu wa bando la intanet

Tabia gani ya kuita watu mbuzi
 
Inabidi nijitutumue niunge hiki maana atleast ntakuwa na uhakika wa kuwa na data kwa mwezi mzima bila kuwaza japo tcra wanaweza wakakishugulikia kifurushi hiki😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…