Vodacom kwasasa ndio wenye unafuu wa bando la intanet

Eerr! Kama kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake, imekuwaje kuongekea bando la 50k wakati kuna watu wanasotea kuunga la buku saazingine wanabau?

Umemchokoza beya, ukitukanwa usinilaumu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…