Vodacom: Mamilioni wameacha kutumia M-Mpesa hasa vijijini, ni hatari kwa biashara yetu

TTCL ni ya serikali wao kamisheni Yao kwa hicho kiasi wanipa tsh ngapi ?
 
mwigulu alishawahi chota fedha ya mfuko mkuu akiwa na naibu mwezake mkuya ilikua kosa kisheria fedha inayotakiwa kutumika nchi inavokua kwenye dharula mfano vita ,nk

Akiwa na Sada mkuya namwezao mmoja kama sio malima
 
Inauma kutuma laki mitandao mwingine elfu 4 voda to voda 3500. Bado wakienda kutoa wanakatwa. Mwigulu ni Taahira.
Mwigulu mwizi kaambiwa abuni vyanzo vya tozo arejeshe fedha walizokwapua BOT. sasa mzigo wake kaamua kutubebesha sisi raia
 
Kumekucha tayari 🤔🤔
 
Yupo ITV[emoji342] na farhia middle saa hii[emoji23] anatetea maujinga yake..
 
Mini namshauri mama aangalie upya watu wa kumshauri. Wengi wao wamemuwekea ganda la ndizi akanyage ateleze aanguke
 
Tulishasema sana kwamba baada ya mwalim kutulisisha ujinga na maradhi pia katuachia janga lingine Ccm Vila kulinyonga hili mafanikio ni ndoto
 
Kwani mbunge wa Ilala, Mussa Zungu Azan anasemaje,yeye hatumi pesa kwa familia yake huko Canada kwa kutumia simu? sisi ambao wazazi wetu wapo vijijini wanaumia sana, lakini hawa wenye familia zao Canada na jijini Dar,Dodoma hawazijui shida zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…