Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Siyo baadhi wengi tumeacha kutumia tumehamia bank tu,acha waparurane waje kuamka sisi tuko mbali.kwa hiyo suala la tozo limegoma kuzoeleka mpaka baadhi ya watu wameamua kuacha kutumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo baadhi wengi tumeacha kutumia tumehamia bank tu,acha waparurane waje kuamka sisi tuko mbali.kwa hiyo suala la tozo limegoma kuzoeleka mpaka baadhi ya watu wameamua kuacha kutumia
Hakuna kuitisha bunge hapo kwa vile sheria haifutwi ila waziri abadilishe kanuni na shedule ya viwango zipungue. Basi tuendelee kuchangia kidogo kidogo.CCM tunaupiga mwingi. Bunge limepitisha sheria kisha Mama akasaini. Wananchi wamegomea sasa inabidi bunge liitwe kwa dharura lifute hiyo sheria.
Mwigulu na Majaliwa wakifuta hiyo sheria bila kuitisha bunge tutajua hatuna bunge bali kikao cha wa.huni!
Na badoFour days after the Electronic and Postal Communication Act (CAP 306) came into effect, the Tanzania Mobile Network Operators Association (Tamnoa) has said the business has dropped drastically, therefore asking government to amend the new charges.
In efforts to raise its revenue collections by Sh1.254 trillion to partly fund the Sh36.68 trillion budget for the 2021/22 financial year, the government last month amended the Electronic and Postal Communication Act (CAP 306) by imposing a levy on all mobile money transactions, depending on the amount sent and withdrawn.
Calling it as ‘Patriotism Levy’, Finance and Planning minister Mwigulu Nchemba said it was important that every Tanzanian took part in it.
“With this levy, we seek to boost the government’s funds so we can take care of our pressing needs. We have schools that do not have running water. Apart from cholera, there is also the global Covid-19 pandemic that requires hand washing. The money will be paid through mobile money transactions,” he said an interview a few days before the new law came into effect.
Tamnoa chairman, Hisham Hendi who is also the CEO of Vodacom Tanzania Plc said millions of customers had stopped using their services, especially those in rural areas, due to rising costs which threatened their businesses.
“Customers complain a lot, especially in rural areas, although we continue to provide the best possible services, recognizing that mobile financial services are an important service to the community. We believe the Government will see this and take appropriate action because this tax affects business and hurts the people, ”said Hendi in a joint statement issued by Tamnoa.
Despite losing business, telecommunications companies providing financial services namely Vodacom (Mpesa), Tigo (Tigopesa), Airtel (Airtel Money), Halotel (Halopesa), Zantel (Eazypesa) and the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL Pesa), said the tax reduces competition in the market as well as reduces the motivation to invest more.
In a bid to recover, Hendi said telecommunications companies will continue to engage the Government and Parliament to state their concerns which he believes will be worked out for the benefit of the nation.
He said they were taking such steps in the realization that the situation could worsen in the future, as the five days of the first deduction were not going well.
“Revenue has dropped drastically because consumers are not using our services as they were in the beginning. The situation is not good, “he said.
On tax equality, the Executive Director of the Tanzania Private Sector Foundation (TPFS), Francis Nanai said the best tax system is the one that involves many people, with taxes being levied at smaller rates.
"The idea of introducing a transaction tax was a good thing but the rates charged are not friendly. TPSF we hear complaints but we believe nothing is impossible. The government should sit down with stakeholders to reconsider these standards and banks should not be left out of this. Due to technology, the phone is also a bank. There are people who borrow or keep savings on their phones,”said Nanai.
Listening to feedback from service providers, customers and agents of mobile financial services, the director said there was a need to conduct research to determine the most appropriate way to implement this tax.
What service providers say
In more or less similar vein, mobile money agents already claim that customers were blaming them for the steep charges, with some saying they were being short-changed.
In a recently interview with The Citizen an agent based at Tabata in the city, Mr Toni James, said some customers accuse him of scamming by deducting inordinately huge sums in money withdrawal transactions.
“The business is already dropping. Today (yesterday), people have not being using the mobile money transactions as they normally do in the recent past,” he lamented.
Ms Rahel Farahani said, “My business is a home-based bakery. I rely on network customers because I don’t have business premises. These deductions are going to seriously hurt my business - and I am considering to shift to another location from home.”
Ms Farahani also claimed that the government decision on the new charges will hurt people including self-employed women and youths.
The Citizen
Tukikomaa ama tukisusia pia na wao wanapunguza pia yaani Bei ya makato hao wa mitandao pia.Four days after the Electronic and Postal Communication Act (CAP 306) came into effect, the Tanzania Mobile Network Operators Association (Tamnoa) has said the business has dropped drastically, therefore asking government to amend the new charges.
In efforts to raise its revenue collections by Sh1.254 trillion to partly fund the Sh36.68 trillion budget for the 2021/22 financial year, the government last month amended the Electronic and Postal Communication Act (CAP 306) by imposing a levy on all mobile money transactions, depending on the amount sent and withdrawn.
Calling it as ‘Patriotism Levy’, Finance and Planning minister Mwigulu Nchemba said it was important that every Tanzanian took part in it.
“With this levy, we seek to boost the government’s funds so we can take care of our pressing needs. We have schools that do not have running water. Apart from cholera, there is also the global Covid-19 pandemic that requires hand washing. The money will be paid through mobile money transactions,” he said an interview a few days before the new law came into effect.
Tamnoa chairman, Hisham Hendi who is also the CEO of Vodacom Tanzania Plc said millions of customers had stopped using their services, especially those in rural areas, due to rising costs which threatened their businesses.
“Customers complain a lot, especially in rural areas, although we continue to provide the best possible services, recognizing that mobile financial services are an important service to the community. We believe the Government will see this and take appropriate action because this tax affects business and hurts the people, ”said Hendi in a joint statement issued by Tamnoa.
Despite losing business, telecommunications companies providing financial services namely Vodacom (Mpesa), Tigo (Tigopesa), Airtel (Airtel Money), Halotel (Halopesa), Zantel (Eazypesa) and the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL Pesa), said the tax reduces competition in the market as well as reduces the motivation to invest more.
In a bid to recover, Hendi said telecommunications companies will continue to engage the Government and Parliament to state their concerns which he believes will be worked out for the benefit of the nation.
He said they were taking such steps in the realization that the situation could worsen in the future, as the five days of the first deduction were not going well.
“Revenue has dropped drastically because consumers are not using our services as they were in the beginning. The situation is not good, “he said.
On tax equality, the Executive Director of the Tanzania Private Sector Foundation (TPFS), Francis Nanai said the best tax system is the one that involves many people, with taxes being levied at smaller rates.
"The idea of introducing a transaction tax was a good thing but the rates charged are not friendly. TPSF we hear complaints but we believe nothing is impossible. The government should sit down with stakeholders to reconsider these standards and banks should not be left out of this. Due to technology, the phone is also a bank. There are people who borrow or keep savings on their phones,”said Nanai.
Listening to feedback from service providers, customers and agents of mobile financial services, the director said there was a need to conduct research to determine the most appropriate way to implement this tax.
What service providers say
In more or less similar vein, mobile money agents already claim that customers were blaming them for the steep charges, with some saying they were being short-changed.
In a recently interview with The Citizen an agent based at Tabata in the city, Mr Toni James, said some customers accuse him of scamming by deducting inordinately huge sums in money withdrawal transactions.
“The business is already dropping. Today (yesterday), people have not being using the mobile money transactions as they normally do in the recent past,” he lamented.
Ms Rahel Farahani said, “My business is a home-based bakery. I rely on network customers because I don’t have business premises. These deductions are going to seriously hurt my business - and I am considering to shift to another location from home.”
Ms Farahani also claimed that the government decision on the new charges will hurt people including self-employed women and youths.
The Citizen
Mwigulu hapaswi kuwepo kwenye ofisi yoyote ya UmmaTatizo linatokana na wabunge wanaodhani wanaweza kuwaamulia wananchi kila jambo bila kuwashirikisha na kupokea mawazo yao kabla ya kufanya majumuisho bungeni.
Hii tozo waliyoweka ilikuwa ni wazo na mbunge mmoja ambaye alisuggest kiujumla. Wazo hilo lingeweza kuwa na manufaa kama wangeshirikisha wananchi, wafanyabiashara na wadau wa uchumi especially micro economy.
Sikutarajia kuona Mwigulu kama PhD holder wa mambo ya uchumi analichukua wazo la mbunge na kuweka tozo kwa haraka bila kuangalia tozo iwe wapi, kwa Kiwango gani na viwango viwekwe kwa kuangalia Hali halisi ya uchumi na mzunguko wa pesa kiujumla.
Pia nilitarajia Mwigulu angetoa maelezo ya sababu zilizowafanya kuweka viwango vya tozo na kwa nini mtumaji na mpokeaji wakatwe ingali hii ni levy tu hapo kodi imekatwa pia tena kwa wote.
Haiingii akilini mtu anayetoa 5000 akatwe pesa yote hiyo, wamekokotoa vipi kufikia hicho Kiwango? Wamemshirikisha nani? Laiti wangeangalia record ya viwango vya miamala wangetambua kwamba watu wengi wanatumia na kutoa pesa chini ya 50,000. Hii ukimkata hayo makato plus Kodi anabaki na na pesa ndogo sana ambayo unakuwa umemuonea sana.
Mie naona Mwigulu ameshindwa kusimamia na kumshauri Rais kwenye masuala ya uchumi, ni wakati sahihi aenguliwe kwenye hiyo nafasi amefamya mengi ya hovyo kwa muda mfupi sana.
Mwigulu akiachwa hapo atakuwa kama Kabudi alivyokuwa anamuingiza chaka Magufuli. Huyu sio wa kumchekea.
Tangu nchi iingie kwenye mfumo wa vyama vingi Ccm hawajawahi kushinda uchaguzi kwa HAKI, na hawatakaa washinde kwa HakiHata hivo wanainchi niwa hovyo sana ikiifika uchaguzi hawafanyi maamzi sahihi wanaichagua tena ccm yaani wanachagua jambazi ndio awe mlinzi wa get dadeq
Anzisha kampuni yakoMakampuni haya yanaangalia sana maslahi yao tu kuliko jamii,mawakala wao hulipwa kamisheni ndogo sana ukilinganisha na makato wanayokuwa wamemkata mteja. Mfano ktk makato ya sh 1450 unakuta wakala analipwa si zaidi ya sh 200, kiasi kinachobi wanajua wao, wanailaumu Serikali ila wao ndo wanaona wanahaki yakuwapunja mawakala na selikali yaina haki yakupata gawio... Kama wanauchungu 1-wapunguze makato wao kwanza ili kuwavutia wateja,2-waongeze kamisheni ziwe kama zamani.Hapo ndo watakuwa nahaki yakulalamikia biashara kuwa mbaya. Bora niichangie serikaliyangu kuliko kumnufaisha mwenyekampuni.
Et wanawaenzi wahenga waliosema "mchawi mpe mtoto akulelee" wanasahau kuwa anaweza kumla nyama na ukoswe wakukusaidiaHata hivo wanainchi niwa hovyo sana ikiifika uchaguzi hawafanyi maamzi sahihi wanaichagua tena ccm yaani wanachagua jambazi ndio awe mlinzi wa get dadeq
PII HECHI DIII ya Madelu nishaifuta rasmi...niya kimatangonpori..poriPhD za wanasiasa walio madarakani tena walizozipata katika vyuo vya ndani, zote zinawalakini.
Ben alihoji akapotea/potezwa
Kama vile kuna ukwel flan hiv ila umefikiria kuhusu gharama ya kukutunzia pesa zako?Makampuni haya yanaangalia sana maslahi yao tu kuliko jamii,mawakala wao hulipwa kamisheni ndogo sana ukilinganisha na makato wanayokuwa wamemkata mteja. Mfano ktk makato ya sh 1450 unakuta wakala analipwa si zaidi ya sh 200, kiasi kinachobi wanajua wao, wanailaumu Serikali ila wao ndo wanaona wanahaki yakuwapunja mawakala na selikali yaina haki yakupata gawio... Kama wanauchungu 1-wapunguze makato wao kwanza ili kuwavutia wateja,2-waongeze kamisheni ziwe kama zamani.Hapo ndo watakuwa nahaki yakulalamikia biashara kuwa mbaya. Bora niichangie serikaliyangu kuliko kumnufaisha mwenyekampuni.
Do we have many options though? Nafikiri wapunguze mapato. Bank hazifiki vijijini. Mobile money bado ndio muarobaini wa kutuma pesa vijijiniHilo suala liko wazi, hakuna mtu wa hali ya chini atathubutu kuweka hela yake mpesa achilia mbali kutuma.
Kama vile kuna ukwel flan hiv ila umefikiria kuhusu gharama ya kukutunzia pesa zako?Makampuni haya yanaangalia sana maslahi yao tu kuliko jamii,mawakala wao hulipwa kamisheni ndogo sana ukilinganisha na makato wanayokuwa wamemkata mteja. Mfano ktk makato ya sh 1450 unakuta wakala analipwa si zaidi ya sh 200, kiasi kinachobi wanajua wao, wanailaumu Serikali ila wao ndo wanaona wanahaki yakuwapunja mawakala na selikali yaina haki yakupata gawio... Kama wanauchungu 1-wapunguze makato wao kwanza ili kuwavutia wateja,2-waongeze kamisheni ziwe kama zamani.Hapo ndo watakuwa nahaki yakulalamikia biashara kuwa mbaya. Bora niichangie serikaliyangu kuliko kumnufaisha mwenyekampuni.
Yah wapunguze hizo tozo, kwa namna zilivyowekwa ni kama adhabu...Do we have many options though? Nafikiri wapunguze mapato. Bank hazifiki vijijini. Mobile money bado ndio muarobaini wa kutuma pesa vijijini
Hao Vodacom ni wapumbavu kwamba wao tuu ndio mtandao ambao watu wamekimbia?Four days after the Electronic and Postal Communication Act (CAP 306) came into effect, the Tanzania Mobile Network Operators Association (Tamnoa) has said the business has dropped drastically, therefore asking government to amend the new charges.
In efforts to raise its revenue collections by Sh1.254 trillion to partly fund the Sh36.68 trillion budget for the 2021/22 financial year, the government last month amended the Electronic and Postal Communication Act (CAP 306) by imposing a levy on all mobile money transactions, depending on the amount sent and withdrawn.
Calling it as ‘Patriotism Levy’, Finance and Planning minister Mwigulu Nchemba said it was important that every Tanzanian took part in it.
“With this levy, we seek to boost the government’s funds so we can take care of our pressing needs. We have schools that do not have running water. Apart from cholera, there is also the global Covid-19 pandemic that requires hand washing. The money will be paid through mobile money transactions,” he said an interview a few days before the new law came into effect.
Tamnoa chairman, Hisham Hendi who is also the CEO of Vodacom Tanzania Plc said millions of customers had stopped using their services, especially those in rural areas, due to rising costs which threatened their businesses.
“Customers complain a lot, especially in rural areas, although we continue to provide the best possible services, recognizing that mobile financial services are an important service to the community. We believe the Government will see this and take appropriate action because this tax affects business and hurts the people, ”said Hendi in a joint statement issued by Tamnoa.
Despite losing business, telecommunications companies providing financial services namely Vodacom (Mpesa), Tigo (Tigopesa), Airtel (Airtel Money), Halotel (Halopesa), Zantel (Eazypesa) and the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL Pesa), said the tax reduces competition in the market as well as reduces the motivation to invest more.
In a bid to recover, Hendi said telecommunications companies will continue to engage the Government and Parliament to state their concerns which he believes will be worked out for the benefit of the nation.
He said they were taking such steps in the realization that the situation could worsen in the future, as the five days of the first deduction were not going well.
“Revenue has dropped drastically because consumers are not using our services as they were in the beginning. The situation is not good, “he said.
On tax equality, the Executive Director of the Tanzania Private Sector Foundation (TPFS), Francis Nanai said the best tax system is the one that involves many people, with taxes being levied at smaller rates.
"The idea of introducing a transaction tax was a good thing but the rates charged are not friendly. TPSF we hear complaints but we believe nothing is impossible. The government should sit down with stakeholders to reconsider these standards and banks should not be left out of this. Due to technology, the phone is also a bank. There are people who borrow or keep savings on their phones,”said Nanai.
Listening to feedback from service providers, customers and agents of mobile financial services, the director said there was a need to conduct research to determine the most appropriate way to implement this tax.
What service providers say
In more or less similar vein, mobile money agents already claim that customers were blaming them for the steep charges, with some saying they were being short-changed.
In a recently interview with The Citizen an agent based at Tabata in the city, Mr Toni James, said some customers accuse him of scamming by deducting inordinately huge sums in money withdrawal transactions.
“The business is already dropping. Today (yesterday), people have not being using the mobile money transactions as they normally do in the recent past,” he lamented.
Ms Rahel Farahani said, “My business is a home-based bakery. I rely on network customers because I don’t have business premises. These deductions are going to seriously hurt my business - and I am considering to shift to another location from home.”
Ms Farahani also claimed that the government decision on the new charges will hurt people including self-employed women and youths.
The Citizen