Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Kuna kampuni naona kabisa zikifungasha virago kutoka na huu uhuni wa Mwigulu. Kama Zantel waliondoka nini kitawashinda wengine kuondoka?Kosa kubwa la Rais na wasaidizi wake ni kufanya maamuzi bila kutafiti na kuwashirikisha wadau kuwa waelewe wanataka kukatwa nini na kwa ajili ya nini...
Tutabaki na TTCL watutese mpaka tushangae.
Akili ikiturudia watakaribishwa Safaricom kuja kutunyonya mpaka tushangae.