longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Mama si amekwisha sema kwambaaa mabadiliko yatafanywaa amaa niliona uongo........anaupiga mwingi sanaaa mpaka nje ya uwanja sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ndio Lengo la MamaKosa kubwa la Mama na wasaidizi wake ni kufanya maamuzi bila kutafiti na kuwashirikisha wadau kuwa waelewe wanataka kukatwa nini na kwa ajili ya nini...
MaCCM wote akili zao hazinaga akili, hiyo akili yakuitumia wanaitoawapi.Shida hatumii akili wanatumia nguvu
Ili iweje?Wangeweka kodi ya uzalendo kwenye pombe, sigara, kwenye kamari,utalii, madini nk
Mwigulu kalikoroga big timeMwigulu chonde chonde
watakoma na ujinga waoMaCCM wote akili zao hazinaga akili, hiyo akili yakuitumia wanaitoawapi.
Huku Mwigilu kule Bi, Chokochoko. tumepigwa tena kwa kweli.
watakoma na ujinga waoMaCCM wote akili zao hazinaga akili, hiyo akili yakuitumia wanaitoawapi.
Huku Mwigilu kule Bi, Chokochoko. tumepigwa tena kwa kweli.
Mkuu ungeongeza na kwenye posho na mishahara yao(wabunge).Wangeweka kodi ya uzalendo kwenye pombe,sigara,kwenye kamari,utalii,madini nk
Wangeanza na kujazia mfano,mtu akikatwa 1,850 na mtandao,wao waongeze 150.Wangeanza kidogo kidogo, watu wasingelalamika
Nashukuru kwakunikumbusha mkuu, umeeleweka vema sanaMkuu ungeongeza na kwenye posho na mishahara yao(wabunge).