Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 823
- 372
hivi ni sahihi afande kova kutumia cheo chake kufanya tangazo la mpesa linaroruka radioni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna ubaya wowote?
hivi ni sahihi afande kova kutumia cheo chake kufanya tangazo la mpesa linaroruka radioni?
Hv tunashindwa kuelewa kuwa hata Kova naye ni binadamu kama wewe na mimi!
Kova kasema kwa Niaba ya jeshi la polisi so ni sahihi kabisa
ni sawa sawa
kova huyu huyu akwambie kuweka pesa majumbani si salama weka benki
so ni sahihi kabisa
ila kuna watu wanamawazo ya kipinzani pinzani ndio wanataka kuleta shida otherwise hakuna shida yeyote
Seconded - Je kuna ubaya wowote? Vodacom na washindani wake ni Vyama vya Siasa? Airtel, Tigo, Zantel, etc. waliwahi kumfuata akakataa?
Vipi kuhusu lile Tangazo linalotoka mara kwa mara "la kuhamasisha Amani Tanzania" linalotolewa "kwa Hisani ya Radio One Stereo" kupitia Radio One Stereo likihusisha kila mmoja kivyake akina Afande Mwamunyange, Sheikh (sorry simkumbuki jina), Kardinali Pengo, Mhindi fulani, n.k. Mbona hakuna aliyewahi kuhoji kuhusu ushiriki hasa wa Mwamunyange kwenye Tangazo hilo?
Double Standards, Wakuu?
...Mkuu, Kwa maana hiyo Jeshi la Polisi linaitambua Mpesa tu kwamba ndio Kampuni Pekee inayotoa Huduma ya kutuma na kupokea fedha?
Kwa nini kama Jeshi la Polisi lina Nia Njema lisitaje Makampuni yote Manne ya Simu yenye huduma ya kutuma na Kupokea fedha?
Huoni kwamba kwa kuitaja Mpesa tu Afande Kova/Jeshi la Polisi linakuwa limetumika kutoa advantage kwa kampuni moja dhidi ya nyinginekatika nyakati hiz ngumu za Ushindani wa Kibiashara?
Mbona hili lilihitaji Utashi wa Kawaida tu kwa Mheshimiwa Kova kujiepusha kuonekana kuipigia debe kampuni moja dhidi ya nyingine??
Kwa nini Viongozi wetu wajirahisisha hivi??????
Nilijua tu kuna mtu ataniuliza swali hili
anyway
Mbona simple tu vodacom ndio wamemfuata kumuomba ayaseme kama haya aliyoyasema makampuni mengine yamelala usingizi sasatel ndio kafa kabisa vodacom wanajua wanachokifanya wameifuata polisi polisi wakakubali kwani hawajavunja sheria yeyote
wanatangaza best way ambayo ni safe ya kukaa na pesa
laiti kama kova angesema kuwa tutumie mtandao wa vodacom kuwasiliana hapo ingeleta shida
makampuni mengine nayo hayakatazwi kufanya kile ambacho kile vodacom wamefanya
1. Tatizo ni Hilo la Kuchukulia Kila Kitu Simple. Inapokuwa hata Viongozi wetu ni Hivyo, Ndio Majanga yenyewe hayo.
2. Kwa hiyo kwako Mkuu CTU Kova kusema 'Tutumie Mpesa kutuma na kupokea fedha' Sio Tatizo ila akisema 'Tutumie Mtandao wa Vodacom Kuwasiliana' ndio Tatizo tu ???
Seconded - Je kuna ubaya wowote? Vodacom na washindani wake ni Vyama vya Siasa? Airtel, Tigo, Zantel, etc. waliwahi kumfuata akakataa?
Vipi kuhusu lile Tangazo linalotoka mara kwa mara "la kuhamasisha Amani Tanzania" linalotolewa "kwa Hisani ya Radio One Stereo" kupitia Radio One Stereo likihusisha kila mmoja kivyake akina Afande Mwamunyange, Sheikh (sorry simkumbuki jina), Kardinali Pengo, Mhindi fulani, n.k. Mbona hakuna aliyewahi kuhoji kuhusu ushiriki hasa wa Mwamunyange kwenye Tangazo hilo?
Double Standards, Wakuu?
1. Tatizo ni Hilo la Kuchukulia Kila Kitu Simple. Inapokuwa hata Viongozi wetu ni Hivyo, Ndio Majanga yenyewe hayo.
2. Kwa hiyo kwako Mkuu CTU Kova kusema 'Tutumie Mpesa kutuma na kupokea fedha' Sio Tatizo ila akisema 'Tutumie Mtandao wa Vodacom Kuwasiliana' ndio Tatizo tu ???