KB THE DON JF-Expert Member Joined Aug 16, 2013 Posts 246 Reaction score 113 Oct 18, 2020 #41 Mm pia nmepokea ujumbe huo
Mk54 JF-Expert Member Joined Dec 29, 2016 Posts 1,996 Reaction score 3,950 Oct 18, 2020 #42 hekimatele said: Airtel hii kitu haijafanywa wala tiGo. Sasa naamini kuwa Voda ni mtandao wa Chama Click to expand... Mtapata SMS kwa mitandao yote. Tigo Voda na Airtel. Mtapata pia ya wabunge wetu wengine. Msizingue tarehe 28, kura za ndio kwa JPM ili amalize utekelezaji mwingine. Hao kina Lissu maneno ni mengi kuliko vitendo, mpeni kura ya HAPANA.
hekimatele said: Airtel hii kitu haijafanywa wala tiGo. Sasa naamini kuwa Voda ni mtandao wa Chama Click to expand... Mtapata SMS kwa mitandao yote. Tigo Voda na Airtel. Mtapata pia ya wabunge wetu wengine. Msizingue tarehe 28, kura za ndio kwa JPM ili amalize utekelezaji mwingine. Hao kina Lissu maneno ni mengi kuliko vitendo, mpeni kura ya HAPANA.
Msingida JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,239 Reaction score 11,731 Oct 18, 2020 #43 OKW BOBAN SUNZU said: nausubiri sana huu ujumbe,nimeshaandaa majibu kabisa Click to expand... Ujumbe unakuja subiri,ila haina option ya reply. Saa hizi nasubiria mpesa tu toka mgombea huyo wa ccm. Kura yangu nampa LISSU
OKW BOBAN SUNZU said: nausubiri sana huu ujumbe,nimeshaandaa majibu kabisa Click to expand... Ujumbe unakuja subiri,ila haina option ya reply. Saa hizi nasubiria mpesa tu toka mgombea huyo wa ccm. Kura yangu nampa LISSU
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,890 Reaction score 2,795 Oct 18, 2020 #44 Mk54 said: Mtapata SMS kwa mitandao yote. Tigo Voda na Airtel. Mtapata pia ya wabunge wetu wengine. Msizingue tarehe 28, kura za ndio kwa JPM ili amalize utekelezaji mwingine. Hao kina Lissu maneno ni mengi kuliko vitendo, mpeni kura ya HAPANA. Click to expand... Itabidi utoe lekcha mzazi namna ya kupiga hizi kura. Hii ya NDIO na HAPANA zinapigwaje?
Mk54 said: Mtapata SMS kwa mitandao yote. Tigo Voda na Airtel. Mtapata pia ya wabunge wetu wengine. Msizingue tarehe 28, kura za ndio kwa JPM ili amalize utekelezaji mwingine. Hao kina Lissu maneno ni mengi kuliko vitendo, mpeni kura ya HAPANA. Click to expand... Itabidi utoe lekcha mzazi namna ya kupiga hizi kura. Hii ya NDIO na HAPANA zinapigwaje?