VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

Nakupenda sana ephen mpaka natamani usiwe unapita kwenye misongamano ya watu kwa kuwa naona ni kama watakumalizia hewa safi ya oksijeni.

Mpatie usafiri Sasa acha maneno mengi. Na kweli amekubadilisha, umepunguza urefu wa magazeti. Kweli usicheze na the power of women. Ukirekebisha vitu vichache unabeba mwali wote wote.
 
Kila kitu ni hatua! Vile tulivyo leo sio tutakavyokua kesho
Lucas atakua kwenye level nzuri kama sio leo basi kesho uzi kama huu hatoandika tena
Tuzidi kuombeana kheri!

Mie zangu duah na kuwatakia kila la kheri.
Mkamilishe jambo lenu.

Si umeona leo licha ya malalamiko ya bundle lakini amedokeza suala lako la u platinum analifanyia kazi? Unataka Nini Tena hapo Mali safi unaimiliki?
 
Mie zangu duah na kuwatakia kila la kheri.
Mkamilishe jambo lenu.

Si umeona leo licha ya malalamiko ya bundle lakini amedokeza suala lako la u platinum analifanyia kazi? Unataka Nini Tena hapo Mali safi unaimiliki?
Sawa tajirii nimekuelewa
 
voda nyie ni weziiiiii.bora nitoke mmeniibia salio yangu yote bila sababu.kila nikajaribu kuwapigia hakuna huduma ya costamer care mlolongo mchosho tu.navunja vunja line yenu nimechoka kuibiwa
 
Vodacom ni wezi aisee. Niliwahi kuweka GB1 laini ilikuwa kwenye kitochi wananiambia nimeacha data on. Nilihama siku hiyo hiyo.
 
Na unasema mama yako amekufikia wakati hata huwezi kujigharamia huduma ya unlimited internet .


Masikini wa fikra na mali.
 
Back
Top Bottom