Vodacom Premier League 21/02/2015-Live Score

Vodacom Premier League 21/02/2015-Live Score

Bhebhe Masuke, ni bhuli okhujaga shimba wilekaga bhung'wene nyapina i mbita ya kukaya? Kukaya kuwandigijo, abhangi kunuma!
Masuke, why have you left alone as an orphan the home team in favour of the lion? Others should follow after the home side!
Masuke, kwa nini umeiacha timu ya nyumbani kama yatima kwa ajili ya Simba? Nyumbani kwanza, wengine wanafuata!

Yeboyebo ni ya Shinyanga?
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha mkoa wala wilaya, Sukumaland kwanza, wengine baadaye.

Pamba iko kaburini, itafufuka siku ya mwisho kwa ajili ya hukumu kwa kuifunga timu moja ya Shelisheli magoli 8 katika mechi moja.

Nimekuuliza hapo juu siku hizi Jangwani imegeuka Shinyanga/Mwanza?
 
Hakuna cha mkoa wala wilaya, Sukumaland kwanza, wengine baadaye.

Pamba iko kaburini, itafufuka siku ya mwisho kwa ajili ya hukumu kwa kuifunga timu moja ya Shelisheli magoli 8 katika mechi moja.

kwenye mpira ni Simba kwanza, hiyo ya Sukumaland ni kwenye mambo mengine na sio mpira.
 
He're is Simba Sports Club first line up to face Stand United at Kambarage Stadium Shinyanga

1.Ivo Mapunda
2. Hassani Kessy
3. Tshabalala
4. Juuko Murushid
5. Isihaka
6. Jonas Mkude
7. Messi
8. Banda
9. Maguli
10.Hajibu
11.Okwii
 
mnasalimiwa sana na Bantu lady. yupo hapa katoka kuoga amekaa tunasubiria mpira.... mi nipo standby kabisa nikimsubir aje kukaa.
 
Last edited by a moderator:
leo ki uhalisia ni siku ngumu sana kwa hizi team zitakazoingia uwanjani. point tatu za leo ni muhimu sana sana kwa team zote. ila kwa simba ni muhimu zaidi
 
Stendi united wamekosa goli la wazi hapa
 
Back
Top Bottom