Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Ndanda FC imeitandika Coastal Union 1-0.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhebhe Masuke, ni bhuli okhujaga shimba wilekaga bhung'wene nyapina i mbita ya kukaya? Kukaya kuwandigijo, abhangi kunuma!
Masuke, why have you left alone as an orphan the home team in favour of the lion? Others should follow after the home side!
Masuke, kwa nini umeiacha timu ya nyumbani kama yatima kwa ajili ya Simba? Nyumbani kwanza, wengine wanafuata!
Hakuna cha mkoa wala wilaya, Sukumaland kwanza, wengine baadaye.
Pamba iko kaburini, itafufuka siku ya mwisho kwa ajili ya hukumu kwa kuifunga timu moja ya Shelisheli magoli 8 katika mechi moja.
Hakuna cha mkoa wala wilaya, Sukumaland kwanza, wengine baadaye.
Pamba iko kaburini, itafufuka siku ya mwisho kwa ajili ya hukumu kwa kuifunga timu moja ya Shelisheli magoli 8 katika mechi moja.
kwenye mpira ni Simba kwanza, hiyo ya Sukumaland ni kwenye mambo mengine na sio mpira.