Vodacom Premier League, Simba SC 3-3 Stand United Uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam

Daaahhh.

Upepo hauna mwelekeo sahihi mkuu, kimbunga kikija tulia ili kipite halafu utendelea na safari hali ya hewa ikitulia
Juzi kati kanjibai alitembea na pesa yangu imenibidi nitulie kwanza.....

Maana mwishoni mwa ligi mambo huwa tofouti kabisa....
 
Ushindi lazima. Huo ni upepo tu unapita emmyta mkuu
Aliyekwambia ushindi lazima nani??? Acheni tabia ya kwenda uwanjani na matokeo mfukoni...ona sasa mmeumbuka..

BTW bro, ule mkeka wako naomba nikusaidie kuuchana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kichuyaaaaaaa napiga shuti kali gool lalaaaa. Mpira unapaa nje ya lango
Gool lalaaaa ndio nini sasa?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Gool lalaaaa ndio nini sasa?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpira umekwisha kilichijiri ndo hicho. Ungequote wakati ule ningekufafanulia lakini hapo naona una lako jambo. Kwangu kuna matokeo matatu kwenye soka

This is Simba SC..
 
Goo laana. Kichuyaaaaaaa anapiga shuti na linaokolewa na beki wa Stand
Mtani vipi...Goo Laana ndio nini??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwani Rais wa FIFA alishaondoka?Mzungu si ubebe skrini yako ukamwonyeshee ulivyo onewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…