Vodacom Premier League, Simba Sports Club yatoka sare na Lipuli FC uwanja wa Uhuru 26/11/2017

Hawa Wahenga huwa wanachonga kama samaki chuchunge leo kimyaaa.
 
Tumeshapata matokeo ya Simba na Lipuli sasa tunaomba matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo
 
Tumeshapata matokeo ya Simba na Lipuli sasa tunaomba matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo

Kule hakuna uchaguzi

Polisi wamesimama kidete dikiteta ashindishwe kwa nguvu

Bila chenga wametekeleza ni ushindi wa nguvu kwa mitutu ya bunduki, mapanga na pingu.
 
Kwanza yule Asante Kwasi ana kadi 3 za njano na hata ile kadi yake nyekundu na Yanga haijaisha kabisa tunavyojua sisi, kwahiyo tutakata rufaa msihofu wana Tope Fc.
 
Kwa matokeo haya msimamo wa ligi upoje wakuu?
1. Simba anapoint 23
2. Azam ana point 22 ila ana mchezo mmoja mkononi dhidi ya mtibwa kesho.
3. Yanga ana point 21
4. Singida united ana point 20
 
Ingawa siwapendi, nawashauri mchezesheni Mo achaneni na Haruna hata kama mlitoa mahari kubwa! Hesabuni mmeliwa kama sie tulivyoliwa kwa Donadi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…