Vodacom Premier League, Simba Sports Club yatoka sare na Lipuli FC uwanja wa Uhuru 26/11/2017

Vodacom Premier League, Simba Sports Club yatoka sare na Lipuli FC uwanja wa Uhuru 26/11/2017

85' Nicholas Gyannnnn nje!

Huku golikipa wa Agathon anapewa kadi ya njano kwa kupoteza muda
 
89' Ally Shomari anapigaaaa kona.
 
Nicolas Gyannnnn.. Golikipa Agathon anacheza
 
90+5' Mpira kati ya Simba SC na Lipuli FC umemalizika hapa uwanja wa Uhuru ambapo timu zote zimetoshana nguvu kwa matokeo ya goli moja kwa moja

Simba Sports Club 1-1 Lipuli FC ulikuwa na mimi Ghazwat.. Asanteni sana
 
Lipuli mna bahati sana.. Ila Amri na Matola mlichokifanya leo kitawacost daima.
 
Yanga na Simba wosa maisganyanza....baba wa Tawaifa Hayati Mwl. J K Nyerere
 
Simba hakuwa na bahati leo, wamejitahidi kucheza vizuri.

Pia pongezi kwa Lipuli wamejitahidi kupaki basi
 
Back
Top Bottom