Vodacom Premier League (VPL) Azam FC dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Taifa

Vodacom Premier League (VPL) Azam FC dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Taifa

Huo ndio ukweli kariba ya timu anazokutanazo na ndio maana Simba akikutana na timu zenye kuwaelewa mpaka mbeleko inatumika bwana mdogo tuache ushabiki mandaz Simba Bado Sana kwa kariba ya timu zetu anazocheza nazo

kilicho akilini kitumie
Unavyosema simba bado sana unatakiwa uweke wazi bado kwenye jambo gani?

Kama kwenye swala la kuomba omba na vibakuli ni kweli kwahilo simba bado sana

Lakini kama umelenga kuzungumzia kisoka ukisema simba bado sana, hiyo pia bado ni paradox kwasababu tutapata swali 'simba bado kwa kulinganisha na timu gani'?

Inaweza ikawa umefanya comparison kati ya simba na barca, kiukweli kwa hilo kuna ka upungufu kadogo sana ambako simba ikikarekebisha watakua katika kiwango bora zaidi ya barca

Ila kama unazungumzia simba kua ni bado sana kwa kuilinganisha na utopolo fc, aah ndugu yangu mbona pazia na mlango vina utofauti sana vipi unashindwa kutofautisha mzee?

It's Scars
 
Sheria 11
Aidha , Hakutakuwa na dhana ya kuotea pale mchezaji atakapokutana na mpira Uliochezwa na mlinda mlango .



[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]

kilicho akilini kitumie
Inadepend je mpira wakat unapigwa mchezaj alikuwa ashazidi au bado kama alikuwa ashazidi hata kipa akitema hiyo ni offside

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeelewa kwanini sportpesa waliipambanisha Simba na Sevilla wale uporoto mpira wao ni butuabutua lakini soka ya Simba unaweza kuiona hata Laliga ndio maana waliotazama ile mechi hawakuamini kama Simba inatoka Tanzania
 
Nyie vyura mnaolalamika haya endeleeni kulalamika
IMG_20200304_215314.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama yanga waliangalia hii mechi na wasiwasi kama wanaweza kuleta timu maana wanajua kabisa tarehe 8 ni kipigo cha aibu nafikiri sasa hivi watakuwa wanangaika kwa waganga wawasaidie maana kwa mpira hawatuwezi ndio maana wanataka wamkabidhi Mkwasa hii timu maana mzungu hatakubali ujinga wao
 
Wewe umeamua kutusumbua tu kichwani unaonekana una makamasi,unatia aibu
Huo ndio ukweli kariba ya timu anazokutanazo na ndio maana Simba akikutana na timu zenye kuwaelewa mpaka mbeleko inatumika bwana mdogo tuache ushabiki mandaz Simba Bado Sana kwa kariba ya timu zetu anazocheza nazo

kilicho akilini kitumie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama yanga waliangalia hii mechi na wasiwasi kama wanaweza kuleta timu maana wanajua kabisa tarehe 8 ni kipigo cha aibu nafikiri sasa hivi watakuwa wanangaika kwa waganga wawasaidie maana kwa mpira hawatuwezi ndio maana wanataka wamkabidhi Mkwasa hii timu maana mzungu hatakubali ujinga wao
Ktk jambo ambalo yanga wataingia mkumbo ni kufikiri kama imani yao inaweza kuhamisha milima.
 
Sheria 11
Aidha , Hakutakuwa na dhana ya kuotea pale mchezaji atakapokutana na mpira Uliochezwa na mlinda mlango .



[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]

kilicho akilini kitumie
Ni hivi:kabla mpira uliopanguliwa na Manula haujapigwa wachezaji 3 wa Azam walikuwa offside.
 
Back
Top Bottom