momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Line up Leo haiko sawa sana Wale watu wetu wakuulainisha mpira hawapo
Wachezaji Wa simba si ni walevi? Watakuwa wamelewa
Bora mlevi kuliko tejaWachezaji Wa simba si ni walevi? Watakuwa wamelewa
Wachezaji Wa simba si ni walevi? Watakuwa wamelewa
Mkuu uko vizuri,nimesikia makelele,Goooooooooooooooooooaaal
Kwako mwalim kashashaGoooooooooooooooooooaaal goooooooooaaal
45' Deo Kanda wanawainua Wanasimba kwa bao la kwanza baada ya kupokea krosi ya Dilunga
KMC FC 0-1 Simba SC