Vodacom Premier League 'VPL' Mbao FC dhidi ya Simba SC, Uwanja wa CCM Kirumba

Vodacom Premier League 'VPL' Mbao FC dhidi ya Simba SC, Uwanja wa CCM Kirumba

Alama tatu muhimu kwa Simba SC..SimbaNguvuMoja
IMG_20200116_180350_166.jpeg
 
45+4' kuelekea kumalizika kwa mchezo huu wa VPL

Naaaaaaaaaaaaaaam Mpira Umekwishaaaaaa Uwanja wa Kirumba Simba SC wakiibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja yakiwekwa kimiani na Hassan Dilunga na Jonas Mkude na lile la Mbao FC likifungwa na Wazir Junior

Kwa matokeo haya, yameifanya Simba SC kujikita kileleni kwa alama 38 kwa michezo 15

FT: Mbao FC [emoji460] 1- [emoji460][emoji460] 2 Simba SC

.....Ghazwat
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom