Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yaani hatukunywa maji aiseee.Wamejariwa mdomo.
Week nzima ilikuwa Pyramid wakasahau almasi ina viumbo vya Prramid. RIP 5imba!
Hapa yaani habari za Pyramids zimeshafutwa na Mwadui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hatukunywa maji aiseee.Wamejariwa mdomo.
Week nzima ilikuwa Pyramid wakasahau almasi ina viumbo vya Prramid. RIP 5imba!
Mtani ni dhahiri hauko poa leo mana unatemaje cheche. 😀😀Mashabiki wa Simba tuacheni kelele,Porojo,Maneno maneno ya kanga timu yetu ni ya kawaida sana,na tuna wachezaji wa kiwango cha kawaida mno.
Wacha weeee.Kufungwa hakuna sababu.. hili ni soka na haya ndio matokeo.
Tunajipanga game nyingine.
Nipe matokeo basi Mtani?Wanajifariji hawa Vyura
Simba nguvu moja
Hahahaa. LolNilimaanisha kuchomoa betri,sijui wengine walinielewaje pacha 😅
😀😀😀😀 Tooooba.Mwadui awajashinda mechi hata toka ligi ianze,kumbe walikua wanailia karanga mikia mixer puturu mikia chali,hamia Yanga ili tukiuza lile banda letu la k'koo nitumie nawe
😃😃😀😀😀😀 Tooooba.
Ina nini kwani hiyo jumapili Mtani? 😜😜Hahaha sawa mkuu jumapili itafika tu.
Simba nguvu moja
Naona unataka kutusahaulisha mambo ya Mwadui Mtani.Jumapili sio mbali kumbuka
Kwi kwi kwi kwi kwiiiiii.Hatimaye maji yameanza kujitenga na mafuta[emoji28][emoji28]
Sema mabingwa wa nchi bhana mtani vp?mikia FC.
NAONI KICHWA KILIZAMA CHOTETunachomoa
Beno ni mzuri pia ila haina maana kuwa huwa hafungwi.Manula ni overly rated, mpeni Beno namba yake hata zile huwa anazitoa yule dogo
Kama mwalimu kukosea kupo ila isiondoe maana kuwa Hatuwezi kupoteza mechiTimu ni nzuri kocha kachemka kupanga timu kuja kushtuka muda umekwisha Mwadui wameshajipanga
Kama chai inavyojitenga na tope pale JangwaniHatimaye maji yameanza kujitenga na mafuta[emoji28][emoji28]
Mshinde mechi zote mnaubavu Shadeeya? Hizo ni ndoto za mchana ambazo mara zote zinatokana na hisia za kutamani jambo lisilowezakana🤣🤣🤣Hahahaa. Kuwa kileleni sio tatizo Ses sababu Timu ya Wananchi ikishinda mechi zote zilizobakia basi huko kileleni utakuwa umetuzidi point moja tu.