Vodacom Premier League 'VPL' Mwadui FC yaituliza Simba SC kwa kuichapa kwa goli 1 - 0

Vodacom Premier League 'VPL' Mwadui FC yaituliza Simba SC kwa kuichapa kwa goli 1 - 0

Muda waliotumia Wasafi FM 88.9 kuchambua kipigo cha Simba dhidi ya Mwadui na muda waliotumia kuichanachana Yanga dhidi ya Pyramids unasema mengi. Niishie hapo tu.
Kipindi Simba wanaitwa under dog mbona hao watangazaji tuliwasikiliza..
Acha wachambue wanavyotaka sababu maneno hayaingii uwanjani.
chezeni mpira acheni kulialia.. Kapindueni meza
 
Kipindi Simba wanaitwa under dog mbona hao watangazaji tuliwasikiliza..
Acha wachambue wanavyotaka sababu maneno hayaingii uwanjani.
chezeni mpira acheni kulialia.. Kapindueni meza
Underdog ilikuja kuonekana kwa zile tano tano za ugenini.
Na kama huna habari meza itapinduliwa kibabe kwa hisani ya Mwadui FC
 
Na kama huna habari meza itapinduliwa kibabe kwa hisani ya Mwadui FC
Kama ni meza sawa.. Masau Bwire anakupa hai.
Mnahama uwanja bado mnaliwa tu, mnafikiri soka ni Kalata.
Pelekeni makalio Misri haraka waarabu wanahamu nayo tena
 
Kama ni meza sawa.. Masau Bwire anakupa hai.
Mnahama uwanja bado mnaliwa tu, mnafikiri soka ni Kalata.
Pelekeni makalio Misri haraka waarabu wanahamu nayo tena
Mlishazoea kuyapeleka ya kwenu kuliwa vitano vitano.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Niache kwa sasa akili na Nafsi nimeielekeza kwa Pyramid[emoji41][emoji41]
Hahahaa! Hivyo mmepanga mkajifarijie huko?

Niseme tu Mtani suluhu ndio itahusika huko.
 
Back
Top Bottom