Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

Pembeni ya Uwanja Kapombe anapiga krosi kwake Chama, kwake Kahataa aaaa njeeeeee

Ilikuwa hatari lango la Namungo fc
 
Muhesmiwa unaangalia movement za kagere uwanjani, sijazungumza mambo ya nje ya uwanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wawa anapanda mbelee kwake Kahata, ni faulo

Inapigwaaaaaa faulo inadhibitiwa na Namungo

Simba SC 2-1 Namungo FC
 
Wawa yupo chini akipatiwa matibabu, baada ya kupata rabsha

Mabadiliko Simba; Ametoka Wawa na ameingia Tairone Santos
 
70' Kikotiiiiii Goooooooooooooooooooaaal
Namungo FC wanasawazisha kwa shuti kali

Simba SC 2-2 Namungo FC
 
Bocco ameingia kuchukua nafasi ya Dilunga, upande wa Simba SC
 
Golikipa wa Namungo FC yupo chini..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…