Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Uhuru

Wape credit na prison sio lazima simba ishinde mechi zote
 
Fukuzeni hafai huyo
 
Hili swali Mimi huwa najiuliza mara nyingi ila huwa nahofu kuuliza mashabiki wenzangu wa Simba tukiwa pamoja kuhofia kuniona msaliti.

Timu yetu ni Simba bila shaka limetokana na Simba mnyama. Kama ndivyo ni aidha Simba atakuwa dume au jike. Na mara nyingi tumeona Simba jike ndiye hatari zaidi ya dume.

Je hii Simba yetu ni Simba dume au Simba jike?
 
Dume
 
Mfukuzen
 
Kibamia.
 
Wewe Ibrahim Ajibu, ulibembeleza sana kurudi Simba SC.
Tukakuonea huruma na kukurudisha ingawa ulitusaliti.
Uliiacha Simba ikiwa kwenye dhiki na taabu tele.
Kama Yanga Ingekuwa na neema wewe usingerudi Simba SC.
Wewe ni mamluki kwa sababu gani.
Leo unakimbilia kupiga faulo mbili na unapazipaisha nje ya lango zote.
Kupaisha nje ya lango ni kumsaidia adui.
Hivi wewe hufanyi mazoezi ya kupiga faulo mazoezini ?
Kama hufanyi Ni kwanini unakimbilia kupiga faulo wakati wa mechi ?
Sema wewe Mamluki, inakichezeaje usichokifanyia mazoezi.
Rudi kwenye timu yako ya Yanga Kama Ngasa.
Ni kwanini humuachii faulo Erasto Nyoni au Muhamed Husein a.k.a. tshabalala ?
Wachezaji wenye mapenzi na Simba SC, kwenye njaa na shibe ?
Wacha upumbavu wako Ajibu. Wacha Unafiki.
Nenda kwenye Yanga Yako Ajibu, ukiendelea na huu upumbavu wako. sisi Simba tutakuchoka.
Na tumeisha kuchoka.
 
Ukiona hivyo ujue hakuna mazoezi ya kupiga faulo Simba, haiwezekani best player wa kucheza dead balls leo awe ery poor.
Something is wrong with our coach on the part of tactical acumen. Hilo wamelisema hata wachambuzi wa soka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…