Vodacom Premier League VPL | Simba SC Vs Mbeya City (4-1) | Benjamin Mkapa

Vodacom Premier League VPL | Simba SC Vs Mbeya City (4-1) | Benjamin Mkapa

50' Athanaaas Goooooooooaaal Goooooooaaal

Pastory Athanas anaipatia Mbeya City bao la kwanza, baada madifenda wa Simba kuzembea kuondosha hatari ile | Simba SC 3-1 Mbeya City
 
magoli yote ya butu butu tu,butuuuuuuu kipa katema,butuuuu tena kipa imegonga mwamba,butuuuuu tena imebabatiza mabeki butuuuuuuu tena ndio inaingia kwenye nyavu...alafu benchi la ufundi lote linashangalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Goli ni goli tu kama unawivu sema
 
59' Ametoka Bwalya na ameingia Chama upande wa Simba SC
 
65' Ametoka Bocco na ameingia Kagere upande wa Simba SC
 
Miquissone loooooo... Ilikuwa hatari sana lango City
 
Imekuaje kuaje wadau huko mnaoshuhudia live?
 
Back
Top Bottom