balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kishingo sio kocha yule ni muuza matikiti uko ulayaNarudia tena. Miaka ya nyuma vilabu hivi vikubwa Simba na Yanga vilikua na kasumba ya kuchukua wachezaji kutola Afrika Magharibi. Nilikua naona wanakosea sana kwani mchezaji wa kiwango kutoka upande huo wa Afrika hawezi kuja Tz kucheza soka la hali ya juu. Ama atakwenda Ulaya au hata Asia au Afrika ya Kaskazini
Nikawa nashauri kua kuna wachezaji kutoka DRC na Burundi wana viwango vikubwa sana na ni cheap lakini ilichukua muda hadi miaka ya hivi karibuni ndio viongozi wa vilabu vyetu wamegundua hilo
Ujinga mwingine upo kwenye kuamini makocha wa kizungu kuwa wana viwango vizuri. Ni kweli lakini sio makocha wote hasa hawa wanaokuja kufundisha Tanzania.
Kama kuna kosa Simba walilifanya ni kumuondoa Masoud Djumaa. Nadhani ipo siku watakuja kugundua kosa lao na pengine yaweza kua too late
Tarehe 8 mikia mnakufa nyingi
Endelea kuota halafu mtaona kitakachowakutaTarehe 8 mikia mnakufa nyingi
Kufungwa ni Jambo la kawaida tu ...Leo wamegoma ona huo umakini
View attachment 1349652
Hii dhambi itawatafuna sana maana mna points kama 15 za watu mlizoiba
Kiukweli Simba kuanzia sasa sisi tutakuwa wahanga wakubwa wa marefa wa Tanzania wasiojua hata sheria za mpira zilivyoAdui muombee njaa,ila watani mechi ya leo refa kawaua,Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi wa TZ tatizo.