Vodacom Sells Tanzania Phone Towers

Vodacom Sells Tanzania Phone Towers

Nadhani ni international transactions kati ya Vodacom SA na Hellios SA juu kwa juu ,sisi hapa tunaambulia vumbi!.

Ile deal ya hostile take over kiwanda cha bia cha Kibo ilifungwa juu kwa juu, tuliambulia patupu!.

Transfer from Celtel to Zain to Airtel pia tumetoka kapa!.

Hata from Sheraton-Moven Pick-Royal Palm-Serena sisi ni bila bila bila!.
Kwenye International transactions, Sisi Tanzania ni Mungu saidia!.

Wakati ule tunapigizana kelele za Gulf Stream Mzee Memosa aliweka mpaka bei halisi!, serikali yetu ikalazimisha lazima inunue kupitia maajent ambao ndio hao hao maajenti wa rada, ndio hao hao maajenti wa magari ya jeshi, ndio hao hao maajenti wakuu wa Vodacom na ndio hao hao ambao huwa wanapark Red Ferari zao kwenye garden ya Ikulu siku za dhifa za kitaifa ili wageni wote waone utajiri wao!, huku tukinywa nao na kugonganisha nao glasi za mvinyo kutakiana afya njema!.
Pasco.

Kwahiyo sisi wazee wa kapa tu kweli sisi hamnazo!!!
 
Voda wanawauzia minara hao Helios Towers Tanzania.

Baada ya kuuza Voda watakuwa wanamiliki asilimia 24.5 ya share kwenye
Helios Towers Tanzania.

Wache wauze ajira zipanuke
 
9
Pasco are you sure? Nilidhani Finance Act 2012 iliziba huu mwanya?

As far as I remember, Section 56 of that Act introduced into the ICTA a new charge to tax arises where the underlying ownership of an entity changes by more than 50 per cent occurs.

The change in ownership triggers a deemed disposal and re-acquisition of assets owned and any liabilities owed by the entity immediately before the change in ownership.

This measure was particularly targeted at the disposal of offshore holding companies, but it can apply equally to an ‘on-shore’ direct disposal. It is also a deemed disposal at the local level.
Mkuu EMT, japo sheria ipo, uwepo wa sheria ni one thing, na utekezaji wa sheria ni another thing!. Makampuni kibao yanaendelea ku change hands, tukiwa supposed kulipwa CGT, find out kulipwa lini na nani?!.

Barracks Gold wamekuwa hawalipi corporate tax kwa kisingizio they are not making any profits!, Tulipo bodily sheria ya madini, wamegomea!. Walivyo ihuisha kuunda ABG, wakaissue IPO na kuzifloat kwa kuzi list LSE!. Kwenye prospectus ya ABG, hakuna popote panapoonyesha is making any loss anywhere!, na ni ingekuwa ni kweli, it's making losses, kwenye due diligence survey kabla ya kukubaliwa kuwa listed LSE, wangegundua na isingekuwa listed!. Data zote hizi ziko open, and yet, hawalipi a single penny!.

Tanzania is one of the best countries to do international business ndio maana tunashuhudia wazungu wakimiminika!, na sasa Wachina!.
Juzi pale Mtwara, Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, ametangaza kuwa investment ya bomba la gesi, itakuwa imejilipa within two years!, nikajiuliza ile 20-year grace period ya ule mkopo wa US $ 1.2b ni ya nini?!.
P.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwahiyo sisi wazee wa kapa tu kweli sisi hamnazo!!!
Mkuu Mau'Mula, ndio zetu!. Dhahabu inavunwa tunaambulia mashimo!, sasa gesi angalau tunapata mabomba, Aliko Dangote ndio mkombozi wa Wanamtwara!.

All and all, one can never miss what he never had!. Wala one can never claim what he never know!.
Watanzania hatujui na hatujui kuwa hatujui, kwa kutokujua kwetu, tunajiona ndio tunajua san, "much know!" hivyo we are always given a ride!. Kwenye madini tumepewa a good ride, tunasubiria ya kwenye gesi!.
P.
 
Real I hate vodacom company the way it is souping our money shamelessly there is a need to throw its sim cards
 
Baada ya kuiba vya kutosha sasa wanajiandaa kuihama nchi. Naona economic boycott yetu inawatisha. Ile kufikiria tu jinsi ambavyo watapoteza mapato kwa kuzimiwa simu kumewapa kiwewe.

Reducing costs? My foot!
Msisahau: Tunawataka wote muitike ule wito kuzima simu zetu zote kwa siku mbili mfulilizo
 
I'm amang those people who plans to discard vodacom sim cards the company is now robbing my air time . I have recharged 1000/= air time through M pesa this morning and received notification when tried to subscrib to internet bundle of 900/= the notification came that you do not enough balance, to check the balance is 797.29 what is it if not thefty? I plan to throw away this anoying simcard[
hahahaaaa same boat.
 
Back
Top Bottom