Vodacom Tanzania led by a Kenyan

Vodacom Tanzania led by a Kenyan

YoungD

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
1,275
Reaction score
1,332
yaani mmekuwa mkipiga kelele huku na kumbe siku zote Vodacom tz inaendeshwa na mKenya mwingine!!
IMG_20180505_192252_338.JPG


Tanzania ni chumba cha kulala cha kenya!

Executive Team
 
yaani mmekuwa mkipiga kelele huku na kumbe siku zote Vodacom tz inaendeshwa na mKenya mwingine!!
View attachment 766939

Tanzania ni chumba cha kulala cha kenya!

Executive Team
See your ignorance, Now you are exposing her to Tanzanian online community..Expect her exit in less than 3 months.
Learn to shut your mouth
 
Halafu ni mdada, these Kenyan ladies are super go-getters. Wanaume Dar lazima wanakimbizwa sana na kuhema hema.
 
Wakenya huwezi watoa popote. Huko Bostwana professionals kama wote ni sisi, SA usitake jua, Europe tuko huko, USA Rais tumewatolea, Australia Senator tumewatolea, Tz ni shamba la bibi, S. Sudan inaendeshwa Nairobi. Yaani nikiona Mbongo akijaribu kupigana na Wakenya namhurumia tu.
 
Wakenya huwezi watoa popote. Huko Bostwana professionals kama wote ni sisi, SA usitake jua, Europe tuko huko, USA Rais tumewatolea, Australia Senator tumewatolea, Tz ni shamba la bibi, S. Sudan inaendeshwa Nairobi. Yaani nikiona Mbongo akijaribu kupigana na Wakenya namhurumia tu.


Isipokuwa Kenya yenyewe tu ndo wanafukuzwa kama Mwizi!
 
Maisha ya watu wa majungu ni maisha ambayo kamwe siwezi tamani kuyaishi. Sitilesi kila dakika.
 
Wakenya huwezi watoa popote. Huko Bostwana professionals kama wote ni sisi, SA usitake jua, Europe tuko huko, USA Rais tumewatolea, Australia Senator tumewatolea, Tz ni shamba la bibi, S. Sudan inaendeshwa Nairobi. Yaani nikiona Mbongo akijaribu kupigana na Wakenya namhurumia tu.
Usisahau London tumewatolea Mayor.
 
I could provide you with multiple names of Tanzanians Mworias but that is petty argument for me

Huyo Mworia wa vodacom alishakua marketing specialist wa Maersk Line Tanzania miaka ya nyuma kabla hajaingia vodacom

Wewe unamfahamu personal?

mimi sileti story za vijiweni hapa!
 
Back
Top Bottom