Hii kampuni ya kifisadi kwelikweli....bora kuhamia airtell..
Napata shida/nashindwa kutumia huduma zenu za whatsapp, nifanyeje?
Khaa WhatsApp siyo Huduma ya Vodacom
Capo vipi tena unaniangusha?
Mb ongezeni. Hamuona wenzenu dk 15 mb 125 kwa sh 500 tu.
Ndugu mteja