Kwenye menyu yenu ya huduma za vifurushi ambayo ni *149*01#
Ondoeni vifurushi hivi
1.REDRXL
2.Pinduapindua
3.Kimataifa % Kuzuru
4.Tuzo
5.Muda wa maongezi(OFA)
6.Dar Ofa
Badala yake wekeni menyu hizi
1.WAJANJA NIGHT
Hii itawakuwa ni GB 1 kwa 500 kuanzia saa 6 usiku mpaka saa 12 asubuhi.
Na GB 5 kwa 1,000/kuanzia saa 6 usiku mpaka saa 12 asubuhi.
2.YA KWAKO TU
Sh 500 = Dakika 20(Voda) SMS 300 na MB 400 kwa masaa 24.
Tsh 1500 = Dakika 75(Voda) SMS 1500 na GB1.2 kwa siku 7 tu.
3.INTANETI
1.Siku
Sh 500 - MB 250
Sh 1000 - MB 500
2.Wiki =
Sh 1000 - MB 500
Sh 1500 - MB 1024(GB)
Sh 2000 - MB 1500(GB 1.5).
3.Mwezi =
Sh 5,000 - GB 5
Sh 10,000 - GB 12
Sh 20,000 - GB 25
Sh 30,000 - GB 35
4.Youtube = GB
Siku -
Sh 500 - 500 MB5
Sh 1000 - GB 1.2
Wiki -
Sh 1000- GB 1
Sh 2000 - GB 2.5
Mwezi -
Sh 3000- GB 3
sh 6000 - GB 6
4.VIFURUSHI VYA WHATSAPP
A.WHATSAPP TU
Sh 500- MB 300 kwa saa 24
Sh 1000 - GB 1.5 kwa simu 7
Sh 2000 - GB 3 kwa mwezi.
B.WHATSAPP na INSTAGRAM
sh 500 - MB 500 kwa saa 24
Sh 1500 - GB 1.6 siku 7
Sh 3000 - GB 3.2 mwezi
5.WELCOME OFFER
Mteja mpya aweke salio la 1000 apewe Dakika 60 (voda) SMS 500 na GB 1 wiki nzima.
6.YA KWAKO TU
Sh 500 - Dakika 30(Voda) SMS 500 na MB 500
Hii huduma ipatikane kwa kila mtu hata kama anaishi Chato au Msoga au Tandahimba.
Mteja akinunua kifurushi kupitia M Pesa apate punguzo la 10%
Asanteni kwa kunisikiliza.
Sent using
Jamii Forums mobile app