denis fourplux
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 1,049
- 1,385
Naitwa Mtwale Daudi huduma hii nimekatwa pesa na sijapatiwa nilicho lipia. Vodacom naomba msaada wa kitaaramu kwenu .
transactions: 1972021 M-Pesa Mastercard deducted TSH 20000.00 1572021 M-Pesa Mastercard deducted TSH 102000.00 972021 M-Pesa Mastercard loaded .
Mastercard inasumbua kwa sasa nafikiriHabari,
Mbona hii visa card hairejeshi sms ya malipo baada ya kulipia kitu mtandaoni?
Alafu customer care tunawapataje?
Mnatupotezea muda sana wakati wa kutaka huduma!
TUNA ANZAJE KUHAMA VODA! VODA HATUZIMI DATA HATA UWE NA MB 500, KWINGINE GB 1 HUMALIZI SIKU NA HAPO HUJAINGIA INSTA NK!! HAKUNA SABABU YA KUHAMA VODAHameni jamani.
Nalog off
Acha uchawa weweTUNA ANZAJE KUHAMA VODA! VODA HATUZIMI DATA HATA UWE NA MB 500, KWINGINE GB 1 HUMALIZI SIKU NA HAPO HUJAINGIA INSTA NK!! HAKUNA SABABU YA KUHAMA VODA
SureKuna shida kubwa sana,
Pindi unapotaka kuongea na mtoa huduma.
Kama huamini jaribu kuwapigia ili usikie hizo ngonjera zao.
Mkuu mm ninashida na statement ya till yangu nimejaribu kutembelea voda shop wameniambia niwasiliane na wakala wangu mkuu ilhali simjui nimejaribu kutafuta mawasiliano naye aliye nitengenezea till amekuwa akinichenga sijui mnanisaidiaje kwa hiloNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
*149*42#Naomba kuuliza menyu ya vifurushi vya chuo unabonyeza ngapi???