Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
hii kero kweli. kwanza wanarudnika ria Kisha wanakata Salio lako lililopo mpawa halafu wanakufungia mwezi mzima ndo ukope Tena.Huu ni ushauri kwa vodacom na ufanyiwe kazi. Nimekopa m pawa kisha baada ya muda nikaweka hela m pesa na nikahamishia zote m pawa. Sasa eti vidacom wanazuia kutoa hela m pawa kwa lengo la kulipia mkopo husika. Wanasema niweke hela nyingine m pesa ndipo nilipie mkopo. Haijakaa vyema.
Hapa hapo riba inaendelea kuongezeka na meseji za usumbufu kila leo lipa lipa wakati hela yangu ipo m pawa. Basi wekeni kipengele kwenye menyu zenu cha kuruhusu kukata deni ndani ya m pawa. Hadi leo mnafikiria nini?
Ujumbe uwafikie kwa kwelihii kero kweli. kwanza wanarudnika ria Kisha wanakata Salio lako lililopo mpawa halafu wanakufungia mwezi mzima ndo ukope Tena.
kubwa kuliko ni masms Yako na kurok mama isiwe na mawasiliano wassap
mateso mliyonipa leo kwa kuzima huduma ya m pesa bila taarifa, nikitoa hela yangu nitatupa line yenu. Nimeteseka sana bila kujua sababu.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Huduma zenu siku hizi ni chenga sana hii kanda ya mwambao wa ziwa Tanganyika. Mtandao gani huu watu mnakaa hata siku mbili haupo ukiuliza unaambiwa eti mkonga wa taifa, unabaki kushangaa tu huo mkonga ni kwa voda pekee???Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Natumia voda tangu nianze kutumia cm na kila nikijaribu mtandao mwingine nashindwa naona bora voda yangu.