Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Huu ni ushauri kwa vodacom na ufanyiwe kazi. Nimekopa m pawa kisha baada ya muda nikaweka hela m pesa na nikahamishia zote m pawa. Sasa eti vidacom wanazuia kutoa hela m pawa kwa lengo la kulipia mkopo husika. Wanasema niweke hela nyingine m pesa ndipo nilipie mkopo. Haijakaa vyema.
Hapa hapo riba inaendelea kuongezeka na meseji za usumbufu kila leo lipa lipa wakati hela yangu ipo m pawa. Basi wekeni kipengele kwenye menyu zenu cha kuruhusu kukata deni ndani ya m pawa. Hadi leo mnafikiria nini?
Hapa hapo riba inaendelea kuongezeka na meseji za usumbufu kila leo lipa lipa wakati hela yangu ipo m pawa. Basi wekeni kipengele kwenye menyu zenu cha kuruhusu kukata deni ndani ya m pawa. Hadi leo mnafikiria nini?