Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

waheshimiwa vipi kuhusu Tigo Bundle ya 35 GB kwa waliojaribu
 
Mkuu location inahusika sana kwenye hili
Nikiwa golini Voda una weza kulia lakini nikiwa maskani ni balaaa, Tigo nikiwa golini inakimbiza mbaya nikifika maskani nikichefuchefu
 
Mie napata tatizo kama hilo na Airtel. Wkati mwingine nikitaka kununua kifurushi naambiwa sikufanikiwa nijaribu tena lakini wakati huo huo salio langu linaendelea kuliwa. Wataalamu tengenezeni petition ya online ambayo tunaweza kuisaini na kuipeleka TCRA, Wizara husika na Bungeni tukipinga wizi huu wa kampuni za simu.
 

Unatumia simu ya aina gani?
ume install applications zaidi ya moja?
zinakuletea notifications?

Kama una kubaliana na hayo niliyo kuuliza basi bundle lako linaweza kuisha na ukajikuta una laumu tuu, kama una apps zinakupa notifications ujue hapo pesa ina kuwa inatumika hivyo bundle linauwezo wa kuisha.

Vodacom-kazi ni kwako.
 

My Lawyer, Kwa mimi binafsi natumia Nokia Tochi, sina huduma yoyote ambayo nimejiunga nayo. Sasa nashindwa kuelewa kwanini walinikata salio.
 
May be nyie Mimi fresh tu! Cheka bombastic ya mwezi kazi kazi tu.
 
My Lawyer, Kwa mimi binafsi natumia Nokia Tochi, sina huduma yoyote ambayo nimejiunga nayo. Sasa nashindwa kuelewa kwanini walinikata salio.

My boss,uliwasiliana na customer care 100? wewe tatizo lako ni tofauti na la mtoa mada.
Ulitakiwa uwapigie voda. Siku nyingine ukipata tatizo kama hilo watafute kupitia namba hii 15366 kabla ujajiunga na huduma nyingine.
 
My boss,uliwasiliana na customer care 100? wewe tatizo lako ni tofauti na la mtoa mada.
Ulitakiwa uwapigie voda. Siku nyingine ukipata tatizo kama hilo watafute kupitia namba hii 15366

Mkuu kiukweli sikuwapigia maana nilikuwa nina haraka na busy kwa siku hiyo, Halafu pia Customer Care kwa namba 100 inagoma kutoka kwa namba yangu mpaka nipige hiyo uliyotaja 15366 kwa gharama ya sh. 100. Na kama sina salio ndio siwezi kuwapata.
 

mkuu niahamie mtandao gan?
 
Mm nimejiunga na kifurushi cha unlimited siku

Najuuuuuuta, nilijua kitakuwa n speed nzuri, spidi yake ni10-20kb/sec.
 
Jaman msije jiloga mkanunua vifurishi vya voda unlimited havina speed kabisa yani net inasinzia kabisa kweli vya bure gharama

nilichokifanya mimi,nimebomoa modem ya airtel ili iingie kila line,then natumia line ya voda.hiyo ndo atleast ina spid.airtel yenyewe ni bure kabisa.internet yenye spid huwa ni zantel.kwa hilo hawana mpinzani kati ya zile ambazo nilisha wahi kuzitumia.sema tu vigharama vyao viko juu kidogo.huwa nikiwa na mzigo mkubwa wa kupiga ndo huwae najipendelea zantel
 
Vodacom ni washenzi, wezi na ovyo kabisa, mimi nimejitoa last week!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…