SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,889
Umeibiwa kiasi gani? Maana kwa hizo namba zako hapo juu, ni kama vile salio limeongezeka kwa sh 4.99. Au kuna kitu sijaelewa?.... nimeweka kiasi cha tsh 3500 nimejiunga bundle ya 3499 ya wiki ili nipate dk60 na mb200 chakushangaza napata ujumbe.
Salio langu halitoshi kujiunga....nikicheki salio *102# naona nina 3504.99 sasa nauliza inakuwaje nyie vodacom....