Bora wewe, nimejiunga na kifurushi cha 1999, sijapiga hata simu mmoja, sijatuma hats SMS moja lakini nimetumiwa SMS ( Mara tu baada ya kumpigia mtu ambaye hata hiyo namba yake ilikuwa inatumika) kuwa kifurushi chako kimeisha! Nilipojaribu kuwapigia customer service (na sijapiga namba 100 for the past three months) nikaambiwa kuwa "Ndugu mteja, umefikia kikomo cha kupiga siku BURE mwezi huu kwenda Vodacom huduma Kwa wateja. Tafadhali pigs nam a 15366 Kwa Tsh. 100 tu Kwa kila siku. Ahsante"
Kuanzia Leo, ninaanza kuwapa promo Airtel, Tigo, Zantel na TTCL Kwa mtu nitakaemuona tena bure!
Mi nilishawahama voda toka mwezi wa 11 mwaka jana. Wapuuzi sana.