Habari kenethedmund tunapenda kukukumbusha kuhakiki jina la mpokeaji kabla hujathibitisha kutuma pesa ili kuepukana na makosa yanayoweza kujitokeza. Ahsante
Hii upande mmoja unaweza ona nzuri ila inapotokea dharula haitafaa.Cha muhimu ni kufanya muamala kwa umakiniWazo lako ni zuri sana.
Kwa pesa kuanzia 100,000 wangefanya 1 hour kabla hazijatolewa.
Habari kenethedmund tunapenda kukukumbusha kuhakiki jina la mpokeaji kabla hujathibitisha kutuma pesa ili kuepukana na makosa yanayoweza kujitokeza. Ahsante
Hii upande mmoja unaweza ona nzuri ila inapotokea dharula haitafaa.Cha muhimu ni kufanya muamala kwa umakini
Hii upande mmoja unaweza ona nzuri ila inapotokea dharula haitafaa.Cha muhimu ni kufanya muamala kwa umakini
Hii upande mmoja unaweza ona nzuri ila inapotokea dharula haitafaa.Cha muhimu ni kufanya muamala kwa umakini
Habari kenethedmund tunapenda kukukumbusha kuhakiki jina la mpokeaji kabla hujathibitisha kutuma pesa ili kuepukana na makosa yanayoweza kujitokeza. Ahsante
Habari kenethedmund tunapenda kukukumbusha kuhakiki jina la mpokeaji kabla hujathibitisha kutuma pesa ili kuepukana na makosa yanayoweza kujitokeza. Ahsante
backwardness idea! hii naifananisha na mawazo yanayotokea kwa watz wengi pale inapotokea ajali barabaran bas soln ni kuweka matuta. tafakariWazo lako ni zuri sana.
Kwa pesa kuanzia 100,000 wangefanya 1 hour kabla hazijatolewa.
Habari bahati, tumekutumia PM kwa msaada zaidi. AhsanteMm nimenunua kifurushi cha voda - voda leo saa 9, nikapiga cmu 2. Moja niliongea sekunde 14 na ya pili niliongea dk 3 na sekunde 38: Nilipokata cmu nikatumiwa ujumbe
"kifurushi chako cha voda - vodqa kimeisha, asante kwa kuchagua vodacom".
Csemi chochote kuhofia ban!!!!!!!!!!!!!!!
Ni upuuzi wa hali ya juu kuona kampuni kama hii inafanya kitu cha ajabu namna hii..! kijana wangu amenunua line ya voda kwa zaidi ya miaka mitano anaitumia, ameisajili kwa jina lake. Ghafla tunaona ile ile namba inaanza kutumiwa na mtu mwingine. Mbaya zaidi ameweza kuaccess m pesa account na kachukua hela zote na bado anaitumia na kapewa na line na vodacom.
Mpaka mahakama kuu na ya rufaa ntafika jiandaeni, meet you in court...!!
Habari Gefu, baada ya uchunguzi ni kwamba namba uliyotupatia kwa sasa inamilikiiwa na mteja XXXXX tangu 2014-06-23 saa 11 dakika 34 jioni ambapo hapo kabla mmiliki wa namba hii uliyemtaja hakuitumia kwa zaidi ya siku 90 hivyo ilifutwa kulingana na sera kisha kurudishwa tena sokoni kama laini (kadi) mpya.
Namba hii ilifutwa akaunti ya M-Pesa ikiwa na 8696.00 Tshs ambapo mteja atatakiwa kufika Vodashop kujaza fomu kama tulivyofahamishana katika jibu letu la awali. Ahsante sana
...asante kwa mrejesho, namba hii bado tunaitumia na ipo kwenye taarifa zetu nyeti na muhimu, mara ya mwisho ametumiwa fedha kiasi cha Tzs 150,000/= na huyo mteja wenu kaulizwa wewe ni fulani akakubali wakati anajua si yeye. so akatuibia fedha hiyo, nitawasilisha malalamiko yangu kwa maandishi TCRA....