Mosiwakaya
Senior Member
- Jul 22, 2014
- 185
- 35
Hamia Airtel uone tofauti
Airtel wana afadhari amieni huku, Tigo na vodacom kweli kabisa kuna shida kubwa....full wizi!
Mtandao wa Vodacom una haja ya kufahamu kuwa Watanzania sio wale wa miaka ya Tisini! Mambo yamebadilika kama kuibiwa kwa ujanja ujanja tuliibiwa sana!
Vodacom wana boa sana kwa sasa ukiweka air time inaisha ghafla hata iwe 10,000 kwa dakika 5!
Lakini Vodacom pia wana toa kifurushi kwa kujiunga vifurushi hivyo kwa siku hadi mwezi,sasa ya siku wametoka dakika 25 Mpaka 18 kwenda mitandao mingine ambapo ni shida sanaa nayo ukiongea dakika 2 unaletewa sms kuwa Kifurushi kina isha ghafla! Vodacom ipo kisiasa sana yani ni Shidaaa
Ukituma msg asubuhi inafikaga usiku.
Habari Mlengo wa Kati, tafadhali tunaomba namba ya simu PM kwa mawasiliano zaidi.
Haisaidii kuwasiliana na mmoja mmoja jirekebisheni mnatia aibu sana Vodacom Tanzania huduma zenu bado za kizamani na kiujanja ujanja
Airtel wana afadhari amieni huku, Tigo na vodacom kweli kabisa kuna shida kubwa....full wizi!
Hapana vodawamezidi ,tuhame.
hiyo ni kwel. soko la mawasiliano hapa bongo ni 'oligopoly', yani soko linakuwa na wauzaji wachache, kila mmoja yupo 'masikio juu' kusikia mwenzake atafanya nini, na ndo maana mitandao yote inafika kipindi bei zinakuwa sawa. ila kuna wakati mbaya zaidi kwenye aina hii ya soko; ni pale wauzaji wanapoamua ku-form collussion (kama kuungana vile) ili kutengeneza bei. angalia hata sasa vifurushi vya tigo na voda vinafanana, na vilibadilika kwa karibu wakati mmoja. tabia nyingine ya aina hii ya soko ni matendo ya muuzaji mmoja yanapobadili muelekeo wa soko. huwa wanasubiri muuzaji mkubwa (mf. voda) au mwenye ushawishi mkubwa kwa kundi fulani (mf. tigo) abadili bei ndipo wafuate. kwa hiyo kwa jinsi yoyote ile bei lazima zitafanana.
acheni usanii,nimenunua muda wa maongezi almost lisaa limepita hakuna responce,nimekopa 450 message fasta.acheni upuuziHabari Ngorunde tumekutumia PM tafadhali.
Habari Mlengo wa Kati, tafadhali tunaomba namba ya simu PM kwa mawasiliano zaidi.
Vodacom Tanzania, mmesikia hiiBila kusahau... WAMEPANDISHA VIWANGO VYA MAKATO YA MPESA KIMYA KIMYA....
acheni usanii,nimenunua muda wa maongezi almost lisaa limepita hakuna responce,nimekopa 450 message fasta.acheni upuuzi