Habari
zamda tunapenda kukutoa wasiwasi kuwa hakuna
pesa inayopotea kupitia M-PESA. Tafadhali tutumie namba ya simu PM
ukitufahamisha kutoka NMB uliufanya lini.
Habari
zamda tunapenda kukutoa wasiwasi kuwa hakuna
pesa inayopotea kupitia M-PESA. Tafadhali tutumie namba ya simu PM
ukitufahamisha kutoka NMB uliufanya lini.
Afadhali Vodacom
mmeamua kuja na huku ili tuwe tunapeana makavu.Kuwazowea kwetu mtulipe
huduma maridhawa!
kasinge wakora
Usikute wenyewe ndo wachoraji wa utapeli. Si unajua mwarabu kauza shares zake, sasa hivi ni kutafuta mapato kwa lazima. Unaweka alfumkumi unapiga simu moja ya dk 2 unaambiwa pesa imeishaNaona voda hata taarifa hawatoi sijui wanasubiria kupokea malalamiko kwanza
TCRA shughulikieni hii as soon as possible