Habari
zamda tunapenda kukutoa wasiwasi kuwa hakuna
pesa inayopotea kupitia M-PESA. Tafadhali tutumie namba ya simu PM
ukitufahamisha kutoka NMB uliufanya lini.
nilihamisha kuja mpesa ili kulipia zuku,sikulipa zuku na hela ilikuwepo mpaka ilivyoyeyuka juzi.
Last edited by a moderator: