Good msoka
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 198
- 23
Kuna kitu nadhani watu wengi wanaolalamika kuwa wanaibiwa mnakosea. Kama unatumia smartphone na hujajiunga na bando la internet ni lazima pesa yako itaendelea kuliwa taratibu hadi iishe. Cha msingi kama wewe hutumii inernet nenda kwenye mobile network then iweke off! Otherwise applications ambazo zinafanyakazi katika background zitamaliza pesa yote.
Subiri nimeweka 1000 najiunga na chekabomba wanasema salio halitoshi ukicheki tena salio 897napont ukijiunga lands ya 800 haitoshi salio tena 756 napoint mpaka kero kasheshe wapigie watapokea kesho yake hawafai