Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)


Subiri nimeweka 1000 najiunga na chekabomba wanasema salio halitoshi ukicheki tena salio 897napont ukijiunga lands ya 800 haitoshi salio tena 756 napoint mpaka kero kasheshe wapigie watapokea kesho yake hawafai
 

Nikweli mkuu
 

Hawawezi kukusaidia lolote. ila hiyo kitu inawrzekana kwa sababu kila simu ina imei yake . also mac address kwa smart phone.
 
Watanzania si waliambiwa wasusie network ya Voda kwa sababu ni kampuni inayomilikiwa na Mafiadi? How far have we gone?
 
Hiki kifurushi cha bila kikomo ndio balaaa kabisa. jaribu kujiunga ndio utajua nachomaaanisha.
 
Last edited by a moderator:
vodacom sasa nashangaa mmepotea kwenye intanet.mimi nipo morogoro mjini,intanet ipo slow sana huku.si tatizo langu tu.sasa sijaelewa kwanini.hili tatizo limeanza mwezi huu tu

Habari ndugu mteja, tafadhali tusaidie namba ya simu PM kwa mawasiliano zaidi ukitufahamisha eneo ulilopo na unapotumia unapata ujumbe gani.
 

Tafadhali tutumie PM taarifa hizi kwa msaada zaidi. Namba ya mtumaji, namba ya mpokeaji na muda ndugu mteja. Pole sana
 
Voda mbona mnachukua pesa kwenye simu zetu bila ithini yetu?hii ni kweli kabisa
 
Subiri nimeweka 1000 najiunga na chekabomba wanasema salio halitoshi ukicheki tena salio 897napont ukijiunga lands ya 800 haitoshi salio tena 756 napoint mpaka kero kasheshe wapigie watapokea kesho yake hawafai
Mkuu Good msoka, tafadhali hakikisha umezima Mobile Data kabla hujaongeza salio na fungua baada ya kununua kifurushi.
 
Last edited by a moderator:
Acheni kututumia SMS za nipashe zinakera sana
Kwanza hatukutaka kuunganishwa kwann mtuunge kwa nguvu.
Cku ya Leo tu had sa hv mshatuma SMS 16
Seriously mnaudhi.
 
Huduma ya internet (kwenye mobile phone) yenu slow sana, yaani data transfer ni very low per second.
Zamani ilikua nzuri sana, ila naona 'mmelewa' sifa ya kuwa kampuni kubwa ya simu za mkononi.
Rekebisheni hii, maana....
 

Kuna maeneo hapa city center (Dar) network yenu ni shida sana.
Huwezi kuamini katikati ya jiji la Dar (maeneo ya St. Joseph Church mpaka TRA station) kupata mtandao wa voda ni changamoto..!!
Kama ha Dar hali ni hii, huko vijijini hali ikoje..??
 
Acheni kututumia SMS za nipashe zinakera sana
Kwanza hatukutaka kuunganishwa kwann mtuunge kwa nguvu.
Cku ya Leo tu had sa hv mshatuma SMS 16
Seriously mnaudhi.
Habari Ngokonii, tumewasiliana nawe kuhusu hili. Pole sana
 
Last edited by a moderator:
Huduma ya internet (kwenye mobile phone) yenu slow sana, yaani data transfer ni very low per second.
Zamani ilikua nzuri sana, ila naona 'mmelewa' sifa ya kuwa kampuni kubwa ya simu za mkononi.
Rekebisheni hii, maana....

Tafadhali tutumie namba ya simu PM na eneo ulilopo kwa mawasiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…