hivi kukopa nipige tafu 400 unarudisha mia 500 ,riba 100, sawa na asilimia 1/4 X 100=25% BOT hawaoni ni wizi?ktk siku moja?Mtu anayekopa a kurudisha kila siku kwa mwezi ni km amekopa kwa riba ya mwezi 25%X30= 750%, kwa mwaka ni utashika kichwa.Pamoja na hizo asilimia bado airtime nayo ni nadra sana ikatumika taratibu.huku ni kufilisi tz. 750%x 12= 9000%, yaani ukikopa 400/= ya voda...kila siku na kurudisha siku hiyohiyo kwa mwaka unarudisha 400+(400x 9000)/100=36,400/= sijui wanaokopa zaidi ya mara moja kwa siku inakuweje?