Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Voda swap za lain za uwakala zinachelewa kuna lain tulileta pale zilipotea na documents zake tukakabidhi kwa yule dada anaitwa joyce na kabla ya hapo swap zilikuwa zinachukua 3-4 days sasa mpaka leo ni zaidi ya wiki sasa huu si ni wehu muda wote huu kazi haifanyika sasa huu si ujinga hasara kiasi gani mnatupatia huduma za swap hapo makao makuu hovyo mnachelewesha lain sana mimi ninavyojua swap ni kitendo cha muda mfupi sana hata dakika 30 haziishi,kama utaniona mzushi ongea na mawakala wakuu watakwambieni au fika pale uliza watu waliopo waliokujakufatilia laini waulize zina muda gani toka wamezileta utapa majibu.
 
Mkuu mimi nimeomba msaada, naambiwa tutafute tena baada ya saa moja na nusu!Sasa unajiuliza ndani ya muda huu yeye kama mhudumu anafanya nini? Mimi kama mteja anategemea niendelee ku_hold shida yangu kwa saa moja na nusu zaidi? Muda huo niwe ninafanya nini?

Hii tabia inakera na inakera sana.
Pole sana hippocratessocrates tafadhali tusaidie namba ya simu kwa msaada zaidi. Mteja huombwa kupiga simu baada ya muda kwasababu taarifa za matumizi zinakuwa bado haijaingia kwenye mifumo yetu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi kwa jinsi nisivyoshughulikiwa tatizo langu hata namba wakisema nitume PM situmi maana napata mashaka hata tunaowasiliana nao hapa jukwaani labda sio wenyewe VODACOM coz nilipopiga simu kutoa matatizo ya kukatwa kifulushi changu cha mwezi mzima bila kukitumia nikaambiwa naunganishwa na watu wa makao makuu na watanipigia muda si mrefu,sasa ni wiki sijapata call yao na pesa ya kifulushi wamebeba
Ondoa shaka ndugu mteja, hii ni akaunti ya Vodacom Tanzania na iko VERIFIED. Kuhusu tatizo lako tungeomba kupata taarifa kwa msaada zaidi.
 
Mimi sina mengi sana nashukuru kwa kujitokeza hapa kwa nini niunganishwe na huduma ya mziki bila ridhaa yangu inauma sana
High Vampire hii hutokea pindi mteja anapohamisha wimbo kutoka kwa aliyempigia kwenda kwake. Kujiondoa andika SMS yenye neno ONDOA tuma kwenda 15577.
 
Bundles na vifurushi.
Mara napata msg ya bundle imeisha nilinunua inaniambia bado nomejiunga. Msg inaingoa ingine bundle imeisha. Nikiacha hela zote ambazo haziko kwny vifurushi zinaliwa.

Utaratibu wa kutuma notifications ukoje? Tufundishe kuzielewa tusiingie hasara
 
Bundles na vifurushi.
Mara napata msg ya bundle imeisha nilinunua inaniambia bado nomejiunga. Msg inaingoa ingine bundle imeisha. Nikiacha hela zote ambazo haziko kwny vifurushi zinaliwa.

Utaratibu wa kutuma notifications ukoje? Tufundishe kuzielewa tusiingie hasara

Kwa uelewa wangu hawa jamaa wez sana unachotakiwa kufanya disable connection kabla hujaweka vocha maana ukiwa enable connection ukiweka vocha bas wanailamba kabla hata hujanunua kifurushi
 
Bundles na vifurushi.
Mara napata msg ya bundle imeisha nilinunua inaniambia bado nomejiunga. Msg inaingoa ingine bundle imeisha. Nikiacha hela zote ambazo haziko kwny vifurushi zinaliwa.

Utaratibu wa kutuma notifications ukoje? Tufundishe kuzielewa tusiingie hasara
Habari Haika, tafadhali tueleze lini ulipata tatizo hili na tutumie namba ya simu PM kwa msaada zaidi.
 
Kwa uelewa wangu hawa jamaa wez sana unachotakiwa kufanya disable connection kabla hujaweka vocha maana ukiwa enable connection ukiweka vocha bas wanailamba kabla hata hujanunua kifurushi

Ahsante kwa ufafanuzi huu, lakini ni kwamba huduma za Intaneti zinakuwa ON hivyo simu ndiyo inatumia salio mara baada ya kuwekwa.
 
Voda swap za lain za uwakala zinachelewa kuna lain tulileta pale zilipotea na documents zake tukakabidhi kwa yule dada anaitwa joyce na kabla ya hapo swap zilikuwa zinachukua 3-4 days sasa mpaka leo ni zaidi ya wiki sasa huu si ni wehu muda wote huu kazi haifanyika sasa huu si ujinga hasara kiasi gani mnatupatia huduma za swap hapo makao makuu hovyo mnachelewesha lain sana mimi ninavyojua swap ni kitendo cha muda mfupi sana hata dakika 30 haziishi,kama utaniona mzushi ongea na mawakala wakuu watakwambieni au fika pale uliza watu waliopo waliokujakufatilia laini waulize zina muda gani toka wamezileta utapa majibu.


Pole sana deepsea tafadhali tunaomba taarifa zako PM kwa msaada mkuu tuweze kufahamu juu ya suala hili lilipofikia na tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante kwa ufafanuzi huu, lakini ni kwamba huduma za Intaneti zinakuwa ON hivyo simu ndiyo inatumia salio mara baada ya kuwekwa.

Kwanin msiweke alert ya kumjulisha mtu kama salio limeisha??? Na msilete siasa za haiwezekan..mbona tigo wanajulisha zikiwa zimebaki 2MB!!! Au nyie mnaleta UJAMBAZI TU??
 
Kwanin msiweke alert ya kumjulisha mtu kama salio limeisha??? Na msilete siasa za haiwezekan..mbona tigo wanajulisha zikiwa zimebaki 2MB!!! Au nyie mnaleta UJAMBAZI TU??
Habari LORDVILLE ujumbe unaotoa taarifa kuwa kifurushi kimeisha hutumwa kwa mteja. Tufahamishe endapo hupokei ujumbe huo.
 
Last edited by a moderator:
Nadhano ujumbe wa kifurushi kuisha sio muhimu kama kukujulisha kifurushi kinaisha bado mb 1 ndio muhimu ambacho voda hamna
 
Vodacom!!! Ni mtandao mkubwa sana,lakini nashindwa kupata katika ufahamu wangu wa akili. Ukubwa wa Vodacom ni upi? Kama upo,wanaweza kuhili ukubwa huo??
Tarehe 25/09/2014 nifika Makao makuu yao. Kujua utaratibu gan nifuate kwa ajili ya kuswap line Yangu iloyouzwa kinyamela na Wakala Mkuu 072481 kwa mtu nisie mjuwa.
Huyo mtumiaji wa Till Ya Frank John Ngowi akapgiwa simu tarehe hyo hyo atae fetha zake ifikapo tarehe 1/10/2041. Nikapeleka document zangu tarehe 6/10/2014 wakajirithisha nikaondoka zangu. Juzi nikapgiwa tena simu lete document zako orgnal wakati nishapeleka zaidi ya mara 2(hawana umakini). Kilicho nisikitisha zaidi Mwizi wangu mpaka tarehe 6 alikuwa hajatoa ela.
EMBU NISAIDIENI NYINY WENYE DHAMIRA YA KUTUSAIDIA.
Au nielekezeni kwa mkuu wa kitengo Maana line toka mwaka jana inafanya kazi kwa document zangu.
 
Hivi kununua luku kwa mpesa wanauliza reference namba
Ni ipi hiyo maana hapo nikikwama tu nanunua kwa network nyingine ambayo haina hayo mambo ya reference number
 
Ushauri wangu kwa vodacom.
1. Utapotumia m pesa kuwe na sehemu ya kuandika ujumbe. Tunalazimika kutuma mara mbili messeji kumtaarifu ni za nini au upige simu.
2. Kuwe na sehemu ambapo akizitoa pesa uweze kujua. Sms irudi. Shs .... ulizotuma kwenye na... Jina.... zimetolewa leo tarehe.....
3. Kama nikijaribu kutumia huduma za m pesa wanasema samahani kwa sasa mtandao sio mzuri. Unasubiri. Hawatumi tena meseji kukuambia huduma zimerejea.
3. Mlio kwenye simu inawekwa bila taarifa. Unakuta ustaadh ana mlio wa pambio tena la kumwabudu YESU. Askofu ana wimbo wa kuchapiwa wa Diamond. Mambo haya yanatupa shida. Mtu ambaye hajachagua mlio basi wekeni tangazo lenu hapo la voda. Bora mara mia kuliko haya yanayotokea.
5. Unapotuma pesa halafu unapata meseji ya tuma pesa sio sahihi. Meseji hizo ziende kwa wenye sakio lililokaa sana au wateja wapya.
6. Laini za m pesa na special number zinalanguliwa saaana. Bei ziwe wazi. Kuwe na bei za special numbers na nambers hizo zipatikane kwenye vodashops.
7. Kwenye luku jina litoke na sio namba tu?
8. Unapotuma pesa mitandao mingine majina yatoke pia. Inatupa wasiwasi saana.
 
Habari Haika, tafadhali tueleze lini ulipata tatizo hili na tutumie namba ya simu PM kwa msaada zaidi.
Hili limenikuta sahivi Mimi,halafu bando halikai hata kidogo,sidownload wala siruhusu back ground application kuoperate

Je mmeanZisha utaratibu wa kukata bando kwa dakika?
 
Back
Top Bottom