Mimi naomba kuuliza juu ya vifurushi vya Blackberry kupitia Vodacom. Nina watu watatu nimewanunulia simu za Blackberry wanahangaika kujuwa kama kuna kifurushi cha vodacom kupitia blackbery kitakacho wawezesha kupata Internet na kupiga pamoja na sms baadala ya kununua cha internet tupu. Nilishawahi tumia vodacom Complete ambayo ilikuwa ni internet tupu na nisingewashauri wachukuwe hicho as wanahitaki kupiga simu pia.Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Mimi naomba kuuliza juu ya vifurushi vya Blackberry kupitia Vodacom. Nina watu watatu nimewanunulia simu za Blackberry wanahangaika kujuwa kama kuna kifurushi cha vodacom kupitia blackbery kitakacho wawezesha kupata Internet na kupiga pamoja na sms baadala ya kununua cha internet tupu. Nilishawahi tumia vodacom Complete ambayo ilikuwa ni internet tupu na nisingewashauri wachukuwe hicho as wanahitaki kupiga simu pia.
Natanguliza shukrani.
mbona ize tu! star 149 star 01 then unachagua internert & bb10. kwa wasiojua blackberry si kama smartphone lazima uwe subscribed uweze kutumia net. nadhani nimeeleweka kaka. kwa msaada zaidi 0757430913
Habari Daud, endapo kutatokea tatizo mteja hurudishiwa salio lake.Vodacom Tanzania kama mtu ameweka mia tano kwenye simu ikatokea kwamba hiyo miatano amekwata bila yeye kuitumia je? hiyo hela hurundishwa.
asanten san
Habari Bedo, hii inatokea pindi unapokuwa umefungua huduma za Intaneti kisha ukaweka salio, unachotakiwa kufanya ni kuzima huduma za Intaneti ongeza salio na nunua kifurushi kisha fungua huduma. Ahsantekwanini kuunga kifurushi cha mitandao yote kinasumbua sana hata kams salio lipo utaambiwa halipo hivi kweli mmejipanga kweli .
Tafadhali tutumie taarifa zaidi PM, ukitupatia namba ya simu na namba mbadala.mbona hapa ihanda -mbozi hatupati internet ya uhakika pia tigo wana 3g network lakin vodacomo ni edge tu hebu tusaidieni hili wateja wenu tigo wanawapiga bao.
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwa kujitokeza ktk jamiiforum kujua matatizo/changamoto zinazowakabili kupitia maoni yetu sisi wateja.
Nipo Rungwa, wilaya manyoni. Sisi hapa tunatumia mnara ambao ni kero kubwa sana kwa kweli. Mawasiliano hukutika na kupotea kabisa mara nyingi kipindi cha mvua. Ila tangu jana aubuhi saa 12 mawasiliano yamekatika kabisa hadi sasa hivi ninapowandikia hii taarifa. Pia hata kama mtandao upo, basi mawasiliano ni shida sana, kiasi kwamba kuelewana na unayewasiliana naye ni taabu. Tumeshazoea kuongea kwa sauti kubwa hapa Rungwa kana kwamba labda unayempigia hakusikii vizuri kwa sababu ya sauti. Tafadhali sana Vodacom makao makuu mtusaidie kutatua hili tatizo maana ndio mtandao pekee hapa kwetu. Kazi njema
Karibu sana, tumekujibu hili kwa PM.Vodacom Tanzania ninahitaji line kwa ajili ya internet ambayo itakuwa na fixed ip address.
Habari, tafadhali tunaomba ututumie sample numbers zenye tatizo hili, itakuwa vyema ukitupatia namba ya mtumaji na namba ya mpokeaji na muda ambao ujumbe ulitumwa. Poleni sanaKuna tatizo kubwa la mtandao huku chuo kikuu cha dodoma hasa college ya humanities unaweza k utuma sms asubuhi mtu akaipata kesho yake je tatizo ni nini? Tunawaomba mfike na kulitatua kwani imekua ni kero kubwa sana
Hi Sceptic123, the new unlimited bundle gives you a true freedom to surf till the end of validity. Please clarify how is it not working?Ile bundle ya 5gb kwa mwezi ilikua very fast and efficient. This new unlimited thing is just not working.
Vodacom mtandao wa kijinga sana, kuanzia tarehe 1 naanza kutumia Tigo,maana nimehitaji huduma yao ya mpawa lakini sijafanikiwa utafikiri ni maombi ya kazi, nimepiga ccare, nimeenda kny maduka yao na nimetuma shida yangu kny ukurasa wenu hp JF. Nimeamua kubwaga manyanga.