CHIHAYA
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 102
- 25
Mimi naomba kuuliza juu ya vifurushi vya Blackberry kupitia Vodacom. Nina watu watatu nimewanunulia simu za Blackberry wanahangaika kujuwa kama kuna kifurushi cha vodacom kupitia blackbery kitakacho wawezesha kupata Internet na kupiga pamoja na sms baadala ya kununua cha internet tupu. Nilishawahi tumia vodacom Complete ambayo ilikuwa ni internet tupu na nisingewashauri wachukuwe hicho as wanahitaki kupiga simu pia.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.